Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Wabunge wa EALA watakiwa kuweka maslahi ya umma mbele

Wabunge wa EALA watakiwa kuweka maslahi ya umma mbele

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Wabunge wa Tanzania kwenye Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wamesisitizwa kuyabeba majukumu waliyopewa kwa uzito unaostahili, huku wakiweka mbele maslahi ya umma wakati wanatekeleza majukumu yao. Maagizo hayo…

Continue ReadingWabunge wa EALA watakiwa kuweka maslahi ya umma mbele
Read more about the article Mbunge Ludewa aipa kongole TARURA kushirikisha jamii

Mbunge Ludewa aipa kongole TARURA kushirikisha jamii

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Njombe Mbunge wa Ludewa (CCM), Joseph Kamonga ameupongeza Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)  kwa kutenga asilimia 30 ya fedha kwa ajili ya kuviwezesha vikundi…

Continue ReadingMbunge Ludewa aipa kongole TARURA kushirikisha jamii
Read more about the article Serikali yaanza kutoa vitambulisho vya kisasa kwa wamachinga

Serikali yaanza kutoa vitambulisho vya kisasa kwa wamachinga

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imezindua rasmi ugawaji wa vitambulisho vya kidijitali kwa ajili ya wafanyabiashara ndogondogo nchini. Waziri wa Maendeleo ya Jamii,…

Continue ReadingSerikali yaanza kutoa vitambulisho vya kisasa kwa wamachinga
Read more about the article Bilioni 68.5 kujenga barabara za mzunguko jijini Dodoma

Bilioni 68.5 kujenga barabara za mzunguko jijini Dodoma

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2024
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu
  • Post comments:0 Comments

SERIKALI ya Japan kupitia Shirika lake la Ushirikiano wa Kimataifa (JICA), imeipatia Tanzania msaada wa Yen bilioni 4.07 sawa na Sh bilioni 68.5 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa ujenzi…

Continue ReadingBilioni 68.5 kujenga barabara za mzunguko jijini Dodoma
Read more about the article Bilioni 678.6 kuleta mapinduzi ya upakuaji mafuta bandari Dar

Bilioni 678.6 kuleta mapinduzi ya upakuaji mafuta bandari Dar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2024
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Tanzania kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), inatekeleza mradi wa Sh 678.6 bilioni ambao utaboresha utaratibu wa upakuaji mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam. Ujenzi wa matanki…

Continue ReadingBilioni 678.6 kuleta mapinduzi ya upakuaji mafuta bandari Dar
Read more about the article Mbarawa: NIT zalisheni marubani watakaotumia ndege mafunzo kwa ufanisi

Mbarawa: NIT zalisheni marubani watakaotumia ndege mafunzo kwa ufanisi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2024
  • Post category:Usafiri wa Anga
  • Post comments:0 Comments

Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, ameutaka uongozi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kuhakikisha kinazalisha marubani wa kutosha ili kuongeza ufanisi katika matumizi ya ndege mbili za mafunzo…

Continue ReadingMbarawa: NIT zalisheni marubani watakaotumia ndege mafunzo kwa ufanisi
Read more about the article Naibu rais Kenya Rigathi Gachagua aondolewa na baraza la seneti

Naibu rais Kenya Rigathi Gachagua aondolewa na baraza la seneti

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2024
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Bunge la seneti nchini Kenya jana Alhamisi limepiga kura na kuidhinisha kuondolewa ofisini kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua,  kutokana na mashtaka matano kati ya 11 yaliyowasilishwa dhidi yake, katika hatua…

Continue ReadingNaibu rais Kenya Rigathi Gachagua aondolewa na baraza la seneti

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu