Habari za Hivi Punde

Samia, Maaskofu Katoliki wajadili amani, mshikamano wa Taifa
Rais Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 10, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania kupitia

RITA yasogeza huduma za usajili vizazi, vifo Mufindi
Na Mwandishi Wetu, Mufindi Serikali wilayani Mafinga imetoa wito kwa maofisa kwa viongozi wa vijiji, dini, Serikali pamoja na wananchi

DC Magu azindua kongamano la vijana, wapewa mbinu kujikwamua kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, Mwanza MKUU wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo leo Jumapili amefungua kongamano la vijana kuelekea mapokezi ya
Share this Post
Habari Mchanganyiko

NBC yatoa mikopo ya makazi kwa wakulima 57, yakabidhi malori kwa vyama vya ushirika
Na Mwandishi Wetu,Dodoma Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba za kifedha, ikiwemo Benki ya Taifa

EACOP Yafadhili Vijana 17 Kusomea Ufundi Stadi VETA
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), kwa kushirikiana na mkandarasi wake EITS,

Samia ateua Majaji wa Uganda, Namibia kuchunguza ghasia za uchaguzi 2025
Rais Samia Suluhu Hassan leo Agosti 7, 2026 amezindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji
Share this Post
Usafiri wa Anga

Samia: Nitajenga uwanja wa ndege Serengeti
Na Mwandishi Wetu, Mara Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi ujenzi wa kiwanja cha

Ndege za kitanzania zinazoruka kwa mafuta ya bodaboda
Katika uwanja mdogo wa ndege wa Mazimbu, Morogoro, nilijikuta nikishuhudia jambo ambalo kwa wengi lingesikika kama hadithi tu. Hapa, kundi

Ndege iliyopotea yapatikana, abiria 50 wahofiwa kufariki dunia
Ndege ya abiria ya nchini Urusi iliyokuwa na watu takriban 50 imeanguka eneo la Amur, mashariki mwa nchi hiyo, huku
Share this Post
Usafiri wa Majini

Samia: Tunakwenda kujenga Bandari Bagamoyo
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo

RC Mtanda ashuhudia ushushaji wa vivuko majini, wananchi visiwani mkao wa kula
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameshuhudia tukio la ushushaji kwenye maji Kivuko cha MV Bukondo kilichogharimu bilioni 4.7

EACOP, BBN wafadhili mafunzo ya ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP kupitia mkandarasi wake Besix Ballast Nedam (BBN)
Share this Post
Usafiri wa Nchi Kavu

Dkt. Samia aeleza mikakati kuboresha usafiri Tanzania na Uganda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameeleza namna walivyokubaliana na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni

TRC yasitisha safari za treni SGR kati ya Morogoro – Dodoma

Serikali yataka mwendokasi irudi ndani ya siku 10
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) na wadau wote wanaohusika wakae na kutengeneza utaratibu
Share this Post
Habari za Michezo na Burudani

Rais Samia atoa milioni 500, ndege maalum kwa Serengeti Boys
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Rais Samia Suluhu Hassan ametoa ndege maalum aina ya Boeing 787-8 Dreamliner kwenda Morocco kwa ajili

Bunge lampongeza Dkt. Samia kwa uwekezaji sekta ya michezo
Na Mwandishi Wetu Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limempongeza Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa

NBC yajipanga kuvutia washiriki 15,000 mbio za NBC Dodoma marathon
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua rasmi msimu wa saba wa mbio za
