Habari za Hivi Punde

Rais Samia azindua rasmi Kituo cha Afya Kizimkazi
Rais Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 13, 2026 amezindua rasmi Kituo cha Afya Kizimkazi, kilichopo Mkoa wa Kusini Unguja, pamoja

RITA yaimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) umeendelea kuimarisha usajili wa matukio muhimu ya binadamu nchini

Samia: Dabi ya Simba, Yanga kuongeza hamasa Kizimkazi Festival
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mchezo wa dabi kati ya Simba na Yanga utakaochezwa katika Uwanja wa Amaan, Zanzibar, utaongeza
Share this Post
Habari Mchanganyiko

Samia, Maaskofu Katoliki wajadili amani, mshikamano wa Taifa
Rais Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 10, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania kupitia

RITA yasogeza huduma za usajili vizazi, vifo Mufindi
Na Mwandishi Wetu, Mufindi Serikali wilayani Mafinga imetoa wito kwa maofisa kwa viongozi wa vijiji, dini, Serikali pamoja na wananchi

DC Magu azindua kongamano la vijana, wapewa mbinu kujikwamua kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, Mwanza MKUU wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo leo Jumapili amefungua kongamano la vijana kuelekea mapokezi ya
Share this Post
Usafiri wa Anga

Eric Moody: Rubani aliyeongoza Boeing 747 kutua salama baada ya inji zote kuzima angani
Tarehe 24 Juni 1982, majira ya usiku, ndege ya British Airways aina ya Boeing 747-200, iliyokuwa imebeba abiria 263 ilikuwa

Maandalizi ujenzi kiwanja kipya cha ndege Serengeti yaiva
Maandalizi ya awali ya ujenzi wa Kiwanja Kipya cha Ndege cha Kimataifa cha Serengeti yameanza rasmi, hatua inayolenga kuongeza ufanisi

Air Tanzania kutua Ghana, Nigeria mara tatu kwa wiki
Siku ya leo, 28 Januari 2026, shirika la ndege la Air Tanzania limezindua rasmi safari mpya za moja kwa moja
Share this Post
Usafiri wa Majini

Waziri mkuu kuzindua meli mpya MV. New Mwanza
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (MB) anatarajiwa kuzindua Meli ya kisasa ya MV

Samia aanika mkakati kudhibiti mafuriko Rufiji
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake katika miaka mitano ijayo,

Samia: Nitaleta boti tano za wagonjwa, usalama Kagera
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Kagera kupeleka boti tano zitakotumika kuimarisha usalama
Share this Post
Usafiri wa Nchi Kavu

TARURA kujenga Km. 250 za barabara manispaa zote za Dar
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Ujenzi darala la Sukuma wafikia 80%, wananchi waishukuru serikali
WANANCHI wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza wameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa ujenzi wa daraja la Sukuma, kwani

Fursa Samia kuwa kinara nishati safi zaanza kumwagika
Hatua ya Rais, Dkt Samia Suluhu Hassan, kuwa kinara wa nishati safi, imetajwa kufungua milango ya uwekezaji wa teknolojia katika
Share this Post
Habari za Michezo na Burudani

NBC yaahidi kuongeza uwekezaji kwenye soka, yakabidhi kombe la ubingwa kwa Yanga
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), mdhamini mkuu wa Ligi Kuu ya NBC, imekabidhi

Fainali AFCON U17 ilivyotoa fursa ya mtoko, furaha kwa wananchi Dar
Imekuwa kama mtoko wa sikukuu kwa familia mbalimbali jijini Dar es Salaam, baada ya Serikali kuandaa maeneo maalumu kwa wananchi

Wenger aimwagia sifa Tanzania, asema ina kizazi cha mabingwa wa soka
Mkuu wa Maendeleo ya Soka wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Arsène Wenger, amesema mafanikio ya timu ya Taifa ya
