Habari za Hivi Punde

Uwanja wa Ndege wa Msalato: Mradi unaobadili maisha ya wakazi wa Dodoma
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Ule msemo wa Kiswahili unaosema “Mgeni njoo, mwenyeji apone” unaendelea kupata uhalisia kupitia ujenzi wa Uwanja

Marekani yaipa Tanzania bilioni 2.6 kukabili Ebola
Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya Dola za Marekani milioni moja, sawa na takribani Sh2.63 bilioni ili kusaidia kuimarisha maandalizi

Nchi wanachama SADC zatakiwa kuungana kukabili changamoto za kiusalama, kiuchumi
Na Mwandishi Wetu, Malawi NCHI wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimehimizwa kuwa na umoja wenye malengo
Share this Post
Habari Mchanganyiko

Dkt Samia: Mimi ni mlezi mawikili wa Serikali na TLS
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kazi yake ni kulea vyama vyote vya mawakili vya Serikali na binafsi kikiwemo

Mageuzi ya Rais Samia yachochea uandishi wa Kitabu cha Falsafa ya Sheria
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amesema Kitabu cha “Falsafa ya Sheria ya Mama Samia” kilichoandaliwa kinaakisi utawala wa sheria

Rais Samia ameleta ustawi wa wananchi, kukuza uchumi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema falsafa ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imeonyesha
Share this Post
Usafiri wa Anga

Maandalizi ujenzi kiwanja kipya cha ndege Serengeti yaiva
Maandalizi ya awali ya ujenzi wa Kiwanja Kipya cha Ndege cha Kimataifa cha Serengeti yameanza rasmi, hatua inayolenga kuongeza ufanisi

Air Tanzania kutua Ghana, Nigeria mara tatu kwa wiki
Siku ya leo, 28 Januari 2026, shirika la ndege la Air Tanzania limezindua rasmi safari mpya za moja kwa moja

Samia: Nitajenga uwanja wa ndege Serengeti
Na Mwandishi Wetu, Mara Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi ujenzi wa kiwanja cha
Share this Post
Usafiri wa Majini

Samia aanika mkakati kudhibiti mafuriko Rufiji
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake katika miaka mitano ijayo,

Samia: Nitaleta boti tano za wagonjwa, usalama Kagera
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Kagera kupeleka boti tano zitakotumika kuimarisha usalama

Samia: Tunakwenda kujenga Bandari Bagamoyo
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Share this Post
Usafiri wa Nchi Kavu

Fursa Samia kuwa kinara nishati safi zaanza kumwagika
Hatua ya Rais, Dkt Samia Suluhu Hassan, kuwa kinara wa nishati safi, imetajwa kufungua milango ya uwekezaji wa teknolojia katika

Dkt. Samia aeleza mikakati kuboresha usafiri Tanzania na Uganda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameeleza namna walivyokubaliana na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni

TRC yasitisha safari za treni SGR kati ya Morogoro – Dodoma
Share this Post
Habari za Michezo na Burudani

Kocha bingwa Mmarekani kuongoza kambi maalumu ya kuogelea Dar
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KATIKA kuunga mkono dhamira ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda

Uwanja mpya wa gofu hifadhi ya Serengeti kivutio kipya cha watalii nchini
Na Mwandishi Wetu, Manyara Uwanja mpya wa Kimataifa wa gofu unaojengwa pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti unatarajiwa kuwa

CAF yaipoka ubingwa Senegal wa AFCON 2025, waipa Morocco
Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) jana Jumanne, Machi 17, 2026 kwamba, kwa mujibu wa
