Habari za Hivi Punde

Wakazi Dar waipongeza NMB ikizindua huduma za matawi yanayotembea
NA MWANDISHI WETU BENKI ya NMB imepuliza rasmi kipyenga cha matumizi ya Magari Maalum Yanayotoa Huduma za Kibenki (Matawi Yanayotembea

Dkt. Samia: Vijana wanufaike na uwekezaji katika mawasiliano
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ametaka vijana wanufaike ipasavyo na huduma za mkongo wa Taifa wa mawasiliano, hasa katika maeneo

Dkt Samia azindua minara 758, kuwanufaisha zaidi ya wananchi milioni nane
Share this Post
Habari Mchanganyiko

Dkt. Samia aanza rasmi kupunguza msafara wake
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi utekelezaji wa vitendo wa mpango wa kupunguza magari katika msafara wake kwa kuhakikisha

Jaji Chande: Tume haiingiliwi, hatuchakachui ripoti
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Vurugu kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema muda wa

Share this Post
Usafiri wa Anga

Ndege iliyopotea yapatikana, abiria 50 wahofiwa kufariki dunia
Ndege ya abiria ya nchini Urusi iliyokuwa na watu takriban 50 imeanguka eneo la Amur, mashariki mwa nchi hiyo, huku

Hakuna kuvua viatu kwenye ukaguzi viwanja vya Marekani
Viwanja vya ndege vya Marekani havitahitaji tena abiria kuvua viatu vyao wakati wa ukaguzi wa usalama unaoendeshwa na Utawala wa

Watanzania 42 waliokwa Israel kurejea nchini leo
Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kwa sababu ya mapigano kati ya nchi hiyo na Iran watarejea nchini leo tarehe
Share this Post
Usafiri wa Majini

EACOP, BBN wafadhili mafunzo ya ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP kupitia mkandarasi wake Besix Ballast Nedam (BBN)

Mpango wa uwezeshaji kiuchumi kupitia EACOP kufaidisha vijana 12,261
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amezindua Mpango wa Uwezeshaji wa Kiuchumi kwa Vijana

TPA yasaini makubaliano na wadau uendeshaji bandari Kavu Kwala
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali
Share this Post
Usafiri wa Nchi Kavu

Samia atangaza mkakati kumaliza foleni Barabara Kilwa
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo, Serikali yake

Samia: Tuitumie stendi kujinufaisha kiuchumi
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ni muhimu wananchi wa Hanang, mkoani Manyara, wakaitumia

Samia: Nitajenga kituo kikubwa cha SGR Arusha
Mkoa wa Arusha ni miongoni mwa maeneo yatakayonufaika na Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR), utakaotekelezwa katika kipindi cha miaka
Share this Post
Habari za Michezo na Burudani

Serikali yaipongeza NMB kuchangia Mil. 30/- Taifa Stars CHAN 2024
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM SERIKALI imeishukuru na kuipongeza Benki ya NMB, kwa mchango wa Sh. Mil. 30 iliyoutoa

NMB yaipiga jeki BAMMATA kuelekea michezo ya majeshi Z’bar
Benki ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa vya michezo kwa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) kwa ajili ya

CHAN2024 itakavyowanufaisha watanzania kibiashara
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Agosti 2, 2025 Tanzania itaingia kwenye rekodi ya kuwa moja kati ya nchi zilizowahi
