Habari za Hivi Punde

Dkt Samia: Tutasaidiwa kuiharibu Tanzania, hatutasaidiwa kuijenga
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Chama cha Mawakili wa Serikali hakipaswi kuwa chanzo cha migogoro na migawanyiko ndani

Vijana wanamezeshwa sumu kuhujumu mataifa yao-Samia
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna wimbi la kuwashawishi vijana, hususan katika mataifa ya Afrika, kugeuka dhidi ya mataifa yao,

Samia: Tanzania ni wafuasi wa haki za binadamu
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazofuata na kulinda haki za binadamu, akisisitiza kuwa serikali imeweka
Share this Post
Habari Mchanganyiko

Vijana wanamezeshwa sumu kuhujumu mataifa yao-Samia
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna wimbi la kuwashawishi vijana, hususan katika mataifa ya Afrika, kugeuka dhidi ya mataifa yao,

Samia: Tanzania ni wafuasi wa haki za binadamu
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazofuata na kulinda haki za binadamu, akisisitiza kuwa serikali imeweka

Dkt Samia: Mimi ni mlezi mawikili wa Serikali na TLS
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kazi yake ni kulea vyama vyote vya mawakili vya Serikali na binafsi kikiwemo
Share this Post
Usafiri wa Anga

ATCL yapata hasara ya Sh bilioni 748 tangu ianzishwe
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amesema kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limeendelea

Idadi ya wataalamu sekta ya anga yafikia 3993
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile, amesema idadi ya wataalamu katika sekta ya anga nchini imefikia jumla ya

ATCL yaandaa safari maalumu kuwarejesha abiria waliopo Dubai
Shirika la ndege la Air Tanzania Company Limited limetangaza kuendesha safari maalum ya ndege kati ya Dar es Salaam na
Share this Post
Usafiri wa Majini

Samia atuma salamu za rambirambi vifo vya wahudumu saba wa afya Kigoma
Serikali inaomboleza vifo vya wafanyakazi saba wa afya waliofariki baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kupinduka kufuatia upepo mkali katika maji

Dkt Samia: Tutazihudumia kikamilifu nchi zisizo na bahari
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema uwekezaji wa Serikali katika mradi wa ujenzi wa matenki 15 ya kuhifadhi mafuta

Serikali yafuta usajili meli iliyokamatwa na dawa za kulevya
MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amekiri kupokea taarifa za kukamatwa kwa meli ya FMS Eagles yenye bendera ya Tanzania,
Share this Post
Usafiri wa Nchi Kavu

TARURA kujenga Km. 250 za barabara manispaa zote za Dar
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Ujenzi darala la Sukuma wafikia 80%, wananchi waishukuru serikali
WANANCHI wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza wameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa ujenzi wa daraja la Sukuma, kwani

Fursa Samia kuwa kinara nishati safi zaanza kumwagika
Hatua ya Rais, Dkt Samia Suluhu Hassan, kuwa kinara wa nishati safi, imetajwa kufungua milango ya uwekezaji wa teknolojia katika
Share this Post
Habari za Michezo na Burudani

Wenger aimwagia sifa Tanzania, asema ina kizazi cha mabingwa wa soka
Mkuu wa Maendeleo ya Soka wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Arsène Wenger, amesema mafanikio ya timu ya Taifa ya

Rais Samia atoa milioni 500, ndege maalum kwa Serengeti Boys
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Rais Samia Suluhu Hassan ametoa ndege maalum aina ya Boeing 787-8 Dreamliner kwenda Morocco kwa ajili

Bunge lampongeza Dkt. Samia kwa uwekezaji sekta ya michezo
Na Mwandishi Wetu Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limempongeza Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa
