Habari za Hivi Punde

Rais Ruto: Dkt Samia ameonyesha uongozi, tunamuunga mkono
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais wa Kenya, Dk William Ruto, amempongeza Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan,

Dkt Samia: Tutashirikiana na Kenya kuwawezesha ubunifu kwa vijana
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali inalenga kushirikiana na Kenya kuwawezesha vijana katika

Austin Pillado – Kocha bingwa wa uogeleaji atua Dar, kuweka kambi ya siku 10
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam HATIMAYE Kocha maarufu kutoka Marekani, Austin Pillado ambaye pia ni Naibu Kocha Mkuu wa
Share this Post
Habari Mchanganyiko

Dkt Samia: Tutashirikiana na Kenya kuwawezesha ubunifu kwa vijana
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali inalenga kushirikiana na Kenya kuwawezesha vijana katika

Dkt. Samia: Biashara yetu na Rwanda imekua
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema biashara ya Tanzania na Rwanda imekua na kufikia Sh644 bilioni mwaka jana, huku uwekezaji

Dkt Samia: Tofauti zisihatarishe amani, mshikamano wetu
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaambia wafanyakazi kuwa, tofauti zisigeuke kuwa sababu ya kuhatarisha misingi ya amani, umoja na mshikamo
Share this Post
Usafiri wa Anga

Air Tanzania kutua Ghana, Nigeria mara tatu kwa wiki
Siku ya leo, 28 Januari 2026, shirika la ndege la Air Tanzania limezindua rasmi safari mpya za moja kwa moja

Samia: Nitajenga uwanja wa ndege Serengeti
Na Mwandishi Wetu, Mara Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi ujenzi wa kiwanja cha

Ndege za kitanzania zinazoruka kwa mafuta ya bodaboda
Katika uwanja mdogo wa ndege wa Mazimbu, Morogoro, nilijikuta nikishuhudia jambo ambalo kwa wengi lingesikika kama hadithi tu. Hapa, kundi
Share this Post
Usafiri wa Majini

Waziri mkuu kuzindua meli mpya MV. New Mwanza
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (MB) anatarajiwa kuzindua Meli ya kisasa ya MV

Samia aanika mkakati kudhibiti mafuriko Rufiji
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake katika miaka mitano ijayo,

Samia: Nitaleta boti tano za wagonjwa, usalama Kagera
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Kagera kupeleka boti tano zitakotumika kuimarisha usalama
Share this Post
Usafiri wa Nchi Kavu

Serikali yataka mwendokasi irudi ndani ya siku 10
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) na wadau wote wanaohusika wakae na kutengeneza utaratibu

BOLT yabisha hodi Moshi Mjini kurahisisha usafiri
Kampuni ya usafiri wa mtandaoni, Bolt Tanzania, imezindua rasmi huduma zake katika mji wa Moshi mkoani Kilimanjaro, hatua inayoonekana kama

EWURA yatangaza bei kikomo ya petroli, dizeli
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kwa
Share this Post
Habari za Michezo na Burudani

Mabadiliko kurejea kwa Taifa Stars, sasa ni tarehe 8
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Timu ya Taifa ya Kandanda ya Tanzania (Taifa Stars), ambayo ilikuwa irejee nchini kesho

CAF yamtunuku Dkt. Samia tuzo ya usimamizi bora sekta ya michezo
Shiriko la Soka barani Afrika (CAF), limemtunuku Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tuzo ya heshima kutokana na mchango mkubwa

Dk. Mwinyi akagua ujenzi mradi wa Sports City
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametembelea mradi wa kimkakati wa Zanzibar Sports
