Habari za Hivi Punde

NMB, PPRA waungana kurahisisha uhakiki wa dhamana za zabuni kupitia NeST
BENKI ya NMB kwa kushirikiana na Mamlaka ya udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imezindua huduma ya uhakiki wa dhamana

Butiku: Dkt Samia ndiye Rais, tukubaliane na uhalisia Watanzania
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere (MNF) Joseph Butiku amewataka Watanzania kukubaliana na uhalisia kuwa Rais Dkt Samia Suluhu

Dkt. Samia: Tutajiepusha na athari za kupanda bei ya mafuta
Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema mradi wa ujenzi wa matenki ya kupokea mafuta, utaimarisha na kutoa hakikisho la usalama wa
Share this Post
Habari Mchanganyiko

Dkt. Samia: Tutajiepusha na athari za kupanda bei ya mafuta
Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema mradi wa ujenzi wa matenki ya kupokea mafuta, utaimarisha na kutoa hakikisho la usalama wa

Mega Copper yaongeza thamani ya shaba kufikia 25%
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro MKAKATI wa uongezaji thamani katika Sekta ya Madini umeanza kuzaa matunda mkoani Kilimanjaro, baada ya kampuni

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei auawa
Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameuawa katika shambulio kubwa dhidi ya Iran lililofanywa na Israel na Marekani, imesema
Share this Post
Usafiri wa Anga

Ndege za kitanzania zinazoruka kwa mafuta ya bodaboda
Katika uwanja mdogo wa ndege wa Mazimbu, Morogoro, nilijikuta nikishuhudia jambo ambalo kwa wengi lingesikika kama hadithi tu. Hapa, kundi

Ndege iliyopotea yapatikana, abiria 50 wahofiwa kufariki dunia
Ndege ya abiria ya nchini Urusi iliyokuwa na watu takriban 50 imeanguka eneo la Amur, mashariki mwa nchi hiyo, huku

Hakuna kuvua viatu kwenye ukaguzi viwanja vya Marekani
Viwanja vya ndege vya Marekani havitahitaji tena abiria kuvua viatu vyao wakati wa ukaguzi wa usalama unaoendeshwa na Utawala wa
Share this Post
Usafiri wa Majini

RC Mtanda ashuhudia ushushaji wa vivuko majini, wananchi visiwani mkao wa kula
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameshuhudia tukio la ushushaji kwenye maji Kivuko cha MV Bukondo kilichogharimu bilioni 4.7

EACOP, BBN wafadhili mafunzo ya ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani
Na Mwandishi Wetu, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP kupitia mkandarasi wake Besix Ballast Nedam (BBN)

Mpango wa uwezeshaji kiuchumi kupitia EACOP kufaidisha vijana 12,261
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo amezindua Mpango wa Uwezeshaji wa Kiuchumi kwa Vijana
Share this Post
Usafiri wa Nchi Kavu

Samia atangaza mkakati kumaliza foleni Barabara Kilwa
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo, Serikali yake

Samia: Tuitumie stendi kujinufaisha kiuchumi
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ni muhimu wananchi wa Hanang, mkoani Manyara, wakaitumia

Samia: Nitajenga kituo kikubwa cha SGR Arusha
Mkoa wa Arusha ni miongoni mwa maeneo yatakayonufaika na Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR), utakaotekelezwa katika kipindi cha miaka
Share this Post
Habari za Michezo na Burudani

Simba SC. yaitafuna kibabe Gor Mahia
Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa

Serikali yaipongeza NMB kuchangia Mil. 30/- Taifa Stars CHAN 2024
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM SERIKALI imeishukuru na kuipongeza Benki ya NMB, kwa mchango wa Sh. Mil. 30 iliyoutoa

NMB yaipiga jeki BAMMATA kuelekea michezo ya majeshi Z’bar
Benki ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa vya michezo kwa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) kwa ajili ya
