Habari za Hivi Punde

Vitongoji 89 Magu kufikiwa na umeme 2028
JUMLA ya vitongoji 89 vilivyopo katika vijiji vya kata mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza vinatarajiwa kufikiwa

Madiwani Magu waiangukia Tanroads kwa ubovu wa barabara
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Ubovu wa barabara kuu ya Musoma – Mwanza katika eneo la wilaya ya Magu, mkoani Mwanza

Ujio wa kocha Ben Lee waipa Tanzania fursa ya kipekee ya kuinua mchezo wa kuogelea
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tanzania imepiga hatua nyingine katika juhudi za kuendeleza mchezo wa uogeleaji kufuatia kuwasili kwa
Share this Post
Habari Mchanganyiko

Rais Samia ashiriki maadhimisho ya Siku ya Mashujaa Dodoma
Rais Samia Suluhu Hassan leo Julai 25, 2026, ameshiriki maadhimisho ya Kumbukumbu ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika katika Mji wa

Tuhuma za ngono zamng’oa Mwendesha Mashtaka Mkuu ICC
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imemwondoa madarakani Mwendesha Mashtaka Mkuu, Karim Khan kutokana na tuhuma za ukatili wa kingono.

Kamati ya uchumi yapongeza zoezi la upimaji shirikishi Magu
Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ya Halmashauri imetembelea Kijiji cha Matela kata ya Nyanguge kukagua maendeleo ya zoezi la
Share this Post
Usafiri wa Anga

Idadi ya wataalamu sekta ya anga yafikia 3993
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile, amesema idadi ya wataalamu katika sekta ya anga nchini imefikia jumla ya

ATCL yaandaa safari maalumu kuwarejesha abiria waliopo Dubai
Shirika la ndege la Air Tanzania Company Limited limetangaza kuendesha safari maalum ya ndege kati ya Dar es Salaam na

Wafanyikazi katika viwanja vya ndege wasitisha mgomo
Muungano wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini Kenya (KAWU) umesitisha mgomo wake ulioanza Jumatatu baada ya maafikiano na wizara
Share this Post
Usafiri wa Majini

Samia atuma salamu za rambirambi vifo vya wahudumu saba wa afya Kigoma
Serikali inaomboleza vifo vya wafanyakazi saba wa afya waliofariki baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kupinduka kufuatia upepo mkali katika maji

Dkt Samia: Tutazihudumia kikamilifu nchi zisizo na bahari
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema uwekezaji wa Serikali katika mradi wa ujenzi wa matenki 15 ya kuhifadhi mafuta

Serikali yafuta usajili meli iliyokamatwa na dawa za kulevya
MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amekiri kupokea taarifa za kukamatwa kwa meli ya FMS Eagles yenye bendera ya Tanzania,
Share this Post
Usafiri wa Nchi Kavu

Prof. Shemdoe: Hakuna muda wa nyongeza kwa wakandarasi
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof.

Wamiliki mabasi: Huduma zinaendelea hatugomi, Rais Samia ametusikiliza
Tunaposema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Sikivu tunamaanisha.Hii limedhiirika baada ya Serikali kupokea

TARURA kujenga Km. 250 za barabara manispaa zote za Dar
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Share this Post
Habari za Michezo na Burudani

Wenger aimwagia sifa Tanzania, asema ina kizazi cha mabingwa wa soka
Mkuu wa Maendeleo ya Soka wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Arsène Wenger, amesema mafanikio ya timu ya Taifa ya

Rais Samia atoa milioni 500, ndege maalum kwa Serengeti Boys
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Rais Samia Suluhu Hassan ametoa ndege maalum aina ya Boeing 787-8 Dreamliner kwenda Morocco kwa ajili

Bunge lampongeza Dkt. Samia kwa uwekezaji sekta ya michezo
Na Mwandishi Wetu Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limempongeza Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa
