Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article BOT yakana kuchapisha fedha za uchaguzi mkuu

BOT yakana kuchapisha fedha za uchaguzi mkuu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha uvumi wa taarifa zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa imechapisha na kusambaza fedha kwa ajili ya kugharamia uchaguzi mkuu. Katika taarifa kwa umma…

Continue ReadingBOT yakana kuchapisha fedha za uchaguzi mkuu
Read more about the article Lema atakiwa kuripoti polisi

Lema atakiwa kuripoti polisi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambazwa na vyombo vya habari ikiwemo kukamatwa kwa watu saba katika mazingira ya kutatanisha tukio ambalo limetajwa kuwa ni ukandamizaji pamoja na taarifa…

Continue ReadingLema atakiwa kuripoti polisi
Read more about the article Kima cha chini cha mshahara sekta binafsi chaongezwa
Ridhiwani Kikwete

Kima cha chini cha mshahara sekta binafsi chaongezwa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 17, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imetangaza kupandisha kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi kutoka Shilingi 275,060 hadi Shilingi 358,322, ikiwa ni…

Continue ReadingKima cha chini cha mshahara sekta binafsi chaongezwa
Read more about the article Obura Odinga ateuliwa Raila kumrithi ODM

Obura Odinga ateuliwa Raila kumrithi ODM

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimemteua Seneta wa Siaya, Dkt. Oburu Odinga, kuwa kaimu kiongozi wa chama kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga, aliyefariki dunia…

Continue ReadingObura Odinga ateuliwa Raila kumrithi ODM
Read more about the article Samia: Nitaleta boti tano za wagonjwa, usalama Kagera

Samia: Nitaleta boti tano za wagonjwa, usalama Kagera

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 16, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini
  • Post comments:0 Comments

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Kagera kupeleka boti tano zitakotumika kuimarisha usalama na kusafirisha wagonjwa. Pia, Samia amefafanua kuwa boti hizo zitatumika…

Continue ReadingSamia: Nitaleta boti tano za wagonjwa, usalama Kagera
Read more about the article Mpina akwaa kisiki kugombea Urais ACT Wazalendo

Mpina akwaa kisiki kugombea Urais ACT Wazalendo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 15, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na mwanachama wa ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina pamoja na ACT- Wazalendo kupinga kuondolewa kwenye orodha ya wagombea Urais…

Continue ReadingMpina akwaa kisiki kugombea Urais ACT Wazalendo
Read more about the article Samia aungana na viongozi Afrika kumuomboleza Odinga

Samia aungana na viongozi Afrika kumuomboleza Odinga

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 15, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Salamu za rambirambi zinatoka sehemu tofauti ya bara la Afrika baada ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga. Odinga ameaga dunia nchini India leo Jumatano, ambapo alikuwa…

Continue ReadingSamia aungana na viongozi Afrika kumuomboleza Odinga
Read more about the article NMB yawanoa wananchi, vikundi vya kijamii Kimanzichana

NMB yawanoa wananchi, vikundi vya kijamii Kimanzichana

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 15, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Na Mwandishi Wetu, Pwani PROGRAMU Endelevu ya usambazaji wa Elimu ya Fedha, Huduma Jumuishi za Kibenki, Utunzaji Mazingira na Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa wananchi vijijini ‘NMB Kijiji…

Continue ReadingNMB yawanoa wananchi, vikundi vya kijamii Kimanzichana
Read more about the article Mshtuko wa moyo wakatisha maisha ya Raila Odinga

Mshtuko wa moyo wakatisha maisha ya Raila Odinga

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 15, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Mwanasiasa maarufu wa Kenya, Raila Odinga, Waziri Mkuu wa zamani, amefariki dunia leo Jumatano, Oktoba 15, 2025, katika hospitali ya Sreedhareeyam Ayurvedic Eye Hospital & Research Centre, Koothattukulam, Kerala, India,…

Continue ReadingMshtuko wa moyo wakatisha maisha ya Raila Odinga
Read more about the article Jeshi kutawala Madagascar kwa miaka miwili kabla ya uchaguzi

Jeshi kutawala Madagascar kwa miaka miwili kabla ya uchaguzi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:October 15, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko
  • Post comments:0 Comments

Jeshi la Madagascar limechukua madaraka kutoka kwa serikali ya kiraia baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbia nchi, hatua iliyotangazwa na kamanda wa juu wa jeshi Kanali Michael Randrianirina mjini Antananarivo.…

Continue ReadingJeshi kutawala Madagascar kwa miaka miwili kabla ya uchaguzi
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • …
  • 91
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2025: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu