Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Dkt Samia: Jeshi la Polisi lijenge imani kwa wananchi

Dkt Samia: Jeshi la Polisi lijenge imani kwa wananchi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 28, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Camilius Wambura, kuangalia namna jeshi hilo litakavyojenga imani yake kwa wananchi, sekta…

Continue ReadingDkt Samia: Jeshi la Polisi lijenge imani kwa wananchi
Read more about the article IGP Wambura: Dkt Samia ametutoa kwenye vibanda, katujengea maghorofa

IGP Wambura: Dkt Samia ametutoa kwenye vibanda, katujengea maghorofa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 28, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini ( (IGP), Camillius Wambura katika kipindi cha uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan jeshi hilo limepiga hatua…

Continue ReadingIGP Wambura: Dkt Samia ametutoa kwenye vibanda, katujengea maghorofa
Read more about the article Prof. Shemdoe: Hakuna muda wa nyongeza kwa wakandarasi

Prof. Shemdoe: Hakuna muda wa nyongeza kwa wakandarasi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 28, 2026
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali haitomuongezea muda Mkandarasi M/s China Civil…

Continue ReadingProf. Shemdoe: Hakuna muda wa nyongeza kwa wakandarasi
Read more about the article ‎DAWASA yataja sababu ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha- Kisarawe
Screenshot

‎DAWASA yataja sababu ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha- Kisarawe

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 27, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu ‎Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetoa ufafanuzi kuhusu changamoto ya ukosefu wa huduma ya maji iliyowakumba wakazi wa maeneo yanayohudumiwa na…

Continue Reading‎DAWASA yataja sababu ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha- Kisarawe
Read more about the article DAWASA yaanza kufunga Pampu zitakazoimarisha huduma ya Maji

DAWASA yaanza kufunga Pampu zitakazoimarisha huduma ya Maji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 27, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imeanza rasmi zoezi la kufunga Pampu 3 kati ya Pampu 7 zilizowasili mapema Mwezi Mei Mwaka…

Continue ReadingDAWASA yaanza kufunga Pampu zitakazoimarisha huduma ya Maji
Read more about the article Shule ya Pre & Primary Courage yatoa msaada Kituo cha watoto yatima Mkuranga

Shule ya Pre & Primary Courage yatoa msaada Kituo cha watoto yatima Mkuranga

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 26, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Pwani UONGOZI wa Shule ya Awali na Msingi ya Courage iliyopo eneo la Kibamba wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani umekabidhi msaada wa chakula, mavazi na bidhaa mbalimbali…

Continue ReadingShule ya Pre & Primary Courage yatoa msaada Kituo cha watoto yatima Mkuranga
Read more about the article Wabunge: Hakuna ubaguzi wa dini, Tanzania ina uwezo kushughulikia changamoto za ndani

Wabunge: Hakuna ubaguzi wa dini, Tanzania ina uwezo kushughulikia changamoto za ndani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 26, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Baadhi ya wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wamesema Tanzania hakuna ubaguzi wa dini, huku wakitayataka mataifa ya nje kuliheshimu Taifa hili ambalo linaweza kushughulikia…

Continue ReadingWabunge: Hakuna ubaguzi wa dini, Tanzania ina uwezo kushughulikia changamoto za ndani
Read more about the article Dkt Samia: Majaji toeni uamuzi wa hukumu bila huba wala chuki

Dkt Samia: Majaji toeni uamuzi wa hukumu bila huba wala chuki

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 26, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaapisha majaji tisa wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania, akiwataka kwenda kuimarisha utendaji…

Continue ReadingDkt Samia: Majaji toeni uamuzi wa hukumu bila huba wala chuki
Read more about the article Watumishi MAGU DC wapatiwa mafunzo kuongeza utayari  kukabiliana na magonjwa ya mlipuko

Watumishi MAGU DC wapatiwa mafunzo kuongeza utayari  kukabiliana na magonjwa ya mlipuko

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 26, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu wamepewa mafunzo maalum ya utayari wa kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo ugonjwa wa Ebola kufuatia kuwepo kwa milipuko ya…

Continue ReadingWatumishi MAGU DC wapatiwa mafunzo kuongeza utayari  kukabiliana na magonjwa ya mlipuko
Read more about the article Tanzania kuna utulivu, hakuna chokochoko za udini

Tanzania kuna utulivu, hakuna chokochoko za udini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 26, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Katibu  wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT),  Askofu Israel Maasa, amesema kwa zaidi ya nusu karne, Watanzania wa dini zote wamekuwa wakiishi pamoja kwa amani na utulivu. Mbali…

Continue ReadingTanzania kuna utulivu, hakuna chokochoko za udini
  • Go to the previous page
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu