Dkt Samia: Kuwe na haki, usawa ulipaji kodi
Kilio cha baadhi ya wafanyabiashara kuhusu mfumo wa haki na usawa katika ulipaji wa kodi, kinakwenda kupata muarobaini, baada ya Tume ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo…
Kilio cha baadhi ya wafanyabiashara kuhusu mfumo wa haki na usawa katika ulipaji wa kodi, kinakwenda kupata muarobaini, baada ya Tume ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Hospitali ya CCBRT imeendelea kutoa huduma ya macho na ushauri nasaha kwa wakazi wa Dar es Salaam katika Kituo cha Afya cha Anglikana kilichopo…
Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) jana Jumanne, Machi 17, 2026 kwamba, kwa mujibu wa Kifungu cha 84 cha Kanuni za Kombe la Mataifa ya…
Mkuu wa Mkoa wa Pwani (RC), Mheshiwa Abubakar Kunenge amesema ushirikishwaji wananchi kwenye miradi ya maendeleo unaofanywa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni…
Uchapakazi, weledi na heshima ya Rais, Dkt Samia Suluhu Hassan katika uongozi, ilianza kuonekana mapema tangu alipokuwa Makamu wa Rais, kama ilivyowahi kusimuliwa na mtangulizi wake, hayati Dkt John Magufuli.…
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile, amesema idadi ya wataalamu katika sekta ya anga nchini imefikia jumla ya wataalamu 3,993 hadi kufikia Januari 2026. Kihenzile aliyasema hayo aliposhiriki…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) imesema kuwa imejipanga kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika mazingira ya biashara nchini ili kuendelea kuvutia wawekezaji…
Serikali inaomboleza vifo vya wafanyakazi saba wa afya waliofariki baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kupinduka kufuatia upepo mkali katika maji ya Ziwa Tanganyika siku ya Ijumaa. Kwa mujibu wa taarifa…
Serikali ya Marekani imesaini makubaliano ya ushirikiano na Tanzania katika masuala ya kuimarisha jeshi, ulinzi wa amani na usalama wa nchi dhidi ya maadui. Ushirikiano huo uliosainiwa kupitia Programu ya…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imechukua hatua ya kuwahamisha wananchi Ngorogoro kwa sababu eneo hilo lina baionuai nzuri kushinda mengine na fursa lukuki za utalii. Sio hivyo tu,…