Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Search this website Type then hit enter to search Press Escape to close the search panel.
Read more about the article Katimba: Uongozi wa Rais Samia unaimarisha misingi ya utawala wa sheria

Katimba: Uongozi wa Rais Samia unaimarisha misingi ya utawala wa sheria

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 10, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainab Katimba, amesema kitabu cha Falsafa ya Sheria ya Mama Samia kilichozindualiwa leo Julai 10, 2026, kina mchango muhimu katika taaluma ya sheria na…

Continue ReadingKatimba: Uongozi wa Rais Samia unaimarisha misingi ya utawala wa sheria
Read more about the article Ado November : Juhudi za Rais Samia zimeleta mageuzi ya sheria nchini

Ado November : Juhudi za Rais Samia zimeleta mageuzi ya sheria nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 10, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mwenyekiti wa Chama cha Mwanasheria wa Serikali, Ado November, amesema tangu Rais Samia Suluhu Hassan ameingia madarakani amesaidia kuimarisha mfumo wa sheria na mabadiliko ya sheria mwaka 2022 yaliyosaidia kuleta…

Continue ReadingAdo November : Juhudi za Rais Samia zimeleta mageuzi ya sheria nchini
Read more about the article DED Magu asisitiza kuwekeza nguvu kwenye michezo

DED Magu asisitiza kuwekeza nguvu kwenye michezo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 10, 2026
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu, Mohamed Ramadhani ameiagiza idara ya elimu sekondari na msingi kuendelea kushirikiana kuibua vipaji vya wanafunzi na kuvilea ili waweze kufanya vizuri katika…

Continue ReadingDED Magu asisitiza kuwekeza nguvu kwenye michezo
Read more about the article Samia aonya wanaharakati magaidi

Samia aonya wanaharakati magaidi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 9, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan, amewaonya wanaojiita wanaharakati kwa jina ili kutambulika duniani, lakini kiuhalisia matendo yao ni ya kigaidi, yanayohusisha uvunjifu wa amani, uharibifu wa mali na miundombinu. Pia, amesema…

Continue ReadingSamia aonya wanaharakati magaidi
Read more about the article Rais Samia: Maridhiano si udhaifu, ni ukomavu wa kisiasa

Rais Samia: Maridhiano si udhaifu, ni ukomavu wa kisiasa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 8, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema maridhiano si udhaifu, bali ni ukomavu wa kisiasa unaojenga misingi ya umoja na kuheshimiana. Amesema maridhiano ni ishara kwamba viongozi wanaweza kutofautiana kwa hoja, lakini…

Continue ReadingRais Samia: Maridhiano si udhaifu, ni ukomavu wa kisiasa
Read more about the article Naibu Mufti Zanzibar: Tudumishe amani, maelewano na kusameheana

Naibu Mufti Zanzibar: Tudumishe amani, maelewano na kusameheana

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 8, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar, Mahmoud Mussa Wadi, ameomba wananchi kuwa wasaidizi wa kujenga, kuenzi na kulinda amani na utulivu, pia wadumishe maelewano, kusameheana, kusaidiana na…

Continue ReadingNaibu Mufti Zanzibar: Tudumishe amani, maelewano na kusameheana
Read more about the article Mwenyekiti ACT: Nchi zilizoendelea zilitanguliza amani, uwajibikaji

Mwenyekiti ACT: Nchi zilizoendelea zilitanguliza amani, uwajibikaji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 8, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema nchi zote za visiwani zilizopiga hatua za maendeleo zimetanguliza utengamano wa kijamii, utawala wa sheria, utulivu wa kisiasa, amani na…

Continue ReadingMwenyekiti ACT: Nchi zilizoendelea zilitanguliza amani, uwajibikaji
Read more about the article CCM, ACT waonesha njia katika maridhiano

CCM, ACT waonesha njia katika maridhiano

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 8, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mansura Mossi Kassim amesema tamko la pamoja la maridhiano ya kisiasa kati ya Chama cha Mapinduzi…

Continue ReadingCCM, ACT waonesha njia katika maridhiano
Read more about the article Othman: Bila Rais Samia maridhiano yangekuwa magumu

Othman: Bila Rais Samia maridhiano yangekuwa magumu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 8, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuunga mkono hatua ya maridhiano ya kisiasa kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo. Othman…

Continue ReadingOthman: Bila Rais Samia maridhiano yangekuwa magumu
Read more about the article Rais Samia: Penye siasa za staha, maendeleo huchanua

Rais Samia: Penye siasa za staha, maendeleo huchanua

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 8, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema penye siasa za chuki na mivutano, maendeleo hutoweka, huku panapokuwa na siasa za staha na maridhiano, maendeleo hupata nafasi na kuchanua. Amesema hatua iliyofikiwa Zanzibar,…

Continue ReadingRais Samia: Penye siasa za staha, maendeleo huchanua
  • Go to the previous page
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • …
  • 135
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search Press Escape to close the search panel.
Close Menu
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Search this website