Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Dkt Samia aanza kutekeleza mapendekezo Tume ya Jaji Chande, aunda Tume ya uchunguzi Kijinai

Dkt Samia aanza kutekeleza mapendekezo Tume ya Jaji Chande, aunda Tume ya uchunguzi Kijinai

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 18, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameanza rasmi kutekeleza mapendekezo yaliyotolewa na Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio yaliyotokea wakati na baada ya…

Continue ReadingDkt Samia aanza kutekeleza mapendekezo Tume ya Jaji Chande, aunda Tume ya uchunguzi Kijinai
Read more about the article Bwire atangaza vita mpya dhidi ya upotevu wa maji Dar, Pwani

Bwire atangaza vita mpya dhidi ya upotevu wa maji Dar, Pwani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 18, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetenga siku 90 za kutekeleza mpango maalum wa kukabiliana na changamoto ya upotevu wa maji katika…

Continue ReadingBwire atangaza vita mpya dhidi ya upotevu wa maji Dar, Pwani
Read more about the article Wenje: Vijana mna wajibu kuilinda Tanzania
Screenshot

Wenje: Vijana mna wajibu kuilinda Tanzania

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 16, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mwanasiasa na mbunge wa zamani wa Nyamagana mkoani Mwanza,  Ezekia Wenje amesema vijana wana wajibu wa kulinda nchi bila kujali itikadi za vyama vya siasa. Amesema hayo leo , Jumamosi Mei…

Continue ReadingWenje: Vijana mna wajibu kuilinda Tanzania
Read more about the article Profesa Kabudi: Yaliyotokea Oktoba 29 sio ya kawaida, hayafanani na nchi yetu
Screenshot

Profesa Kabudi: Yaliyotokea Oktoba 29 sio ya kawaida, hayafanani na nchi yetu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 16, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema yaliyotokea Oktoba 29, 2025 hayakuwa mambo ya kawaida na hayafanani na Taifa la…

Continue ReadingProfesa Kabudi: Yaliyotokea Oktoba 29 sio ya kawaida, hayafanani na nchi yetu
Read more about the article Chalamila: Vijana msiharibu maisha kwa propaganda za siasa
Screenshot

Chalamila: Vijana msiharibu maisha kwa propaganda za siasa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 16, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka vijana wasiharibu maisha yao kwa siasa na propaganda za chuki, badala yake wajikite katika jitihada kwa kuwa ndio siri pekee…

Continue ReadingChalamila: Vijana msiharibu maisha kwa propaganda za siasa
Read more about the article TAHLISO: Yaliyotokea yasijirudie tena

TAHLISO: Yaliyotokea yasijirudie tena

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 16, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais wa Jumuiya  ya Wanafunzi Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Geofrey  Kiliba amesema wanavyuo wa mkoa wa Dar es Salaam wanaunga mkono tamko 'never again' lililotolewa na vijana Mkoa wa…

Continue ReadingTAHLISO: Yaliyotokea yasijirudie tena
Read more about the article Jaji Masaju awang’ata sikio vijana nchini

Jaji Masaju awang’ata sikio vijana nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 12, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

QNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam JAJi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, George Masaju amewataka vijana nchini kutumia vipaji, ubunifu na maarifa waliyopewa ili kuchangia maendeleo ya taifa badala ya…

Continue ReadingJaji Masaju awang’ata sikio vijana nchini
Read more about the article Serikali yapongeza  utekelezaji wa mradi  wa EACOP
Screenshot

Serikali yapongeza  utekelezaji wa mradi  wa EACOP

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 12, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Tanga Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Nishati, imeeleza kuridhishwa na hatua kubwa ya maendeleo zilizofikiwa katika ujenzi wa miundombinu ya mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi…

Continue ReadingSerikali yapongeza  utekelezaji wa mradi  wa EACOP
Read more about the article Dkt Samia: Tunahitaji mfumo wa ufuatiliaji wafungwa wanaotoka gerezani

Dkt Samia: Tunahitaji mfumo wa ufuatiliaji wafungwa wanaotoka gerezani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 9, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ametaka kuwepo mfumo wa ufuatiliaji wa wafungwa wanaomaliza vifungo vyao, ili kujua walipo na wanachofanya. Amesema mfumo huo, utasaidia pia kuwaunganisha na taasisi za uwezeshaji…

Continue ReadingDkt Samia: Tunahitaji mfumo wa ufuatiliaji wafungwa wanaotoka gerezani
Read more about the article Dkt Samia: Haki, utu wa wafungwa wanawake uheshimiwe

Dkt Samia: Haki, utu wa wafungwa wanawake uheshimiwe

  • Post author:Gabriel
  • Post published:May 9, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ametaka utu, heshima na haki za wafungwa hususan wanawake ziheshimiwe, kwa kuwa wana mahitaji ya ziada na maumbile tofauti na wanaume. Dkt Samia ametoa kauli…

Continue ReadingDkt Samia: Haki, utu wa wafungwa wanawake uheshimiwe
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu