Tunaunga mkono Serikali kusitisha mikutano, tunataka amani
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Soko la Machinga Complex jijini Dodoma, Marico Magale, amesema wamachinga wa soko hilo wamepokea na kuunga mkono kauli ya Serikali ya kusitishwa kwa mikutano ya hadhara…
