Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Serikali yafuta usajili meli iliyokamatwa na dawa za kulevya

Serikali yafuta usajili meli iliyokamatwa na dawa za kulevya

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 26, 2026
  • Post category:Usafiri wa Majini

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amekiri kupokea taarifa za kukamatwa kwa meli ya FMS Eagles yenye bendera ya Tanzania, inayodaiwa kukutwa na tani 6.6 za dawa za kulevya nchini…

Continue ReadingSerikali yafuta usajili meli iliyokamatwa na dawa za kulevya
Read more about the article Serikali yatoa tahadhari ongezeko la Influenza, Uviko-19

Serikali yatoa tahadhari ongezeko la Influenza, Uviko-19

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 25, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

WIZARA ya Afya imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu ongezeko la magonjwa ya mlipuko yakiwemo mafua makali ya Influenza, UVIKO-19, homa ya Dengue na Kipindupindu na kutoa wito kwa jamii kuzingatia…

Continue ReadingSerikali yatoa tahadhari ongezeko la Influenza, Uviko-19
Read more about the article RITA yavunja bodi ya wadhamini Kanisa la Waadventista Wasabato

RITA yavunja bodi ya wadhamini Kanisa la Waadventista Wasabato

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 25, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imeivunja rasmi Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania kufuatia kubainika kwa mapungufu makubwa katika usimamizi wa…

Continue ReadingRITA yavunja bodi ya wadhamini Kanisa la Waadventista Wasabato
Read more about the article Kumenoga kitita cha kwanza cha bima ya afya kwa wote kikianza

Kumenoga kitita cha kwanza cha bima ya afya kwa wote kikianza

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 25, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi wasio na uwezo nchini sio changamoto tena, baada ya kuanza rasmi kwa kitita cha huduma muhimu chini ya mpango wa bima ya afya…

Continue ReadingKumenoga kitita cha kwanza cha bima ya afya kwa wote kikianza
Read more about the article DC Lawuo azindua bima ya afya kwa wote Magu

DC Lawuo azindua bima ya afya kwa wote Magu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 25, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo amezindua rasmi uhakiki, usajili na utoaji wa kadi za bima ya afya kwa wote wilayani humo ambapo katika awamu ya kwanza zaidi ya…

Continue ReadingDC Lawuo azindua bima ya afya kwa wote Magu
Read more about the article Milioni 84 za mfuko wa jimbo Magu zagaiwa kwenye miradi ya afya, elimu

Milioni 84 za mfuko wa jimbo Magu zagaiwa kwenye miradi ya afya, elimu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 25, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

JUMLA ya Sh milioni 84 zinatarajiwa kutekeleza miradi ya ujenzi wa zahanati mbili, shule ya msingi na sekondari wilayani Magu, ikiwa ni mwendelezo jitihada serikali kuimarisha sekta ya elimu na…

Continue ReadingMilioni 84 za mfuko wa jimbo Magu zagaiwa kwenye miradi ya afya, elimu
Read more about the article Dkt. Samia: Tumeweka heshima, ujenzi makao makuu Ngome

Dkt. Samia: Tumeweka heshima, ujenzi makao makuu Ngome

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 24, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema makao makuu ya ulinzi ni alama ya ukomavu wa kielelezo cha uwezo wa Taifa katika kupanga na kutekeleza miradi mikubwa kwa kutumia…

Continue ReadingDkt. Samia: Tumeweka heshima, ujenzi makao makuu Ngome
Read more about the article Dkt Samia: Tuepuke vitendo vinavyovunja heshima ya jeshi

Dkt Samia: Tuepuke vitendo vinavyovunja heshima ya jeshi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 24, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kuishi kwa misingi ya viapo vyao, akiwasisitiza kuepuka vitendo vinavyovunja heshima…

Continue ReadingDkt Samia: Tuepuke vitendo vinavyovunja heshima ya jeshi
Read more about the article Dkt Samia: Ukuaji uchumi Tanzania matokeo ya usalama, amani

Dkt Samia: Ukuaji uchumi Tanzania matokeo ya usalama, amani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 24, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema hatua ya kukua kwa uchumi wa Taifa na maendeleo yanayoshuhudiwa ni matokeo ya kuimarika kwa hali ya ulinzi na usalama nchini na kwamba hata…

Continue ReadingDkt Samia: Ukuaji uchumi Tanzania matokeo ya usalama, amani
Read more about the article Vijana 100 wahitimu mafunzo maalumu ya sekta ya fedha kwa ufadhili wa NMB

Vijana 100 wahitimu mafunzo maalumu ya sekta ya fedha kwa ufadhili wa NMB

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 24, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Benki ya NMB imeendeleza jitihada zake za kujenga nguvu kazi yenye ujuzi na maarifa ya kisasa katika sekta ya fedha nchini kwa kusaidia mafunzo ya kitaaluma na kitalaamu kwa vijana…

Continue ReadingVijana 100 wahitimu mafunzo maalumu ya sekta ya fedha kwa ufadhili wa NMB
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu