Serikali yafuta usajili meli iliyokamatwa na dawa za kulevya
MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amekiri kupokea taarifa za kukamatwa kwa meli ya FMS Eagles yenye bendera ya Tanzania, inayodaiwa kukutwa na tani 6.6 za dawa za kulevya nchini…
MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amekiri kupokea taarifa za kukamatwa kwa meli ya FMS Eagles yenye bendera ya Tanzania, inayodaiwa kukutwa na tani 6.6 za dawa za kulevya nchini…
WIZARA ya Afya imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu ongezeko la magonjwa ya mlipuko yakiwemo mafua makali ya Influenza, UVIKO-19, homa ya Dengue na Kipindupindu na kutoa wito kwa jamii kuzingatia…
Na Mwandishi Wetu, Dar Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imeivunja rasmi Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania kufuatia kubainika kwa mapungufu makubwa katika usimamizi wa…
Upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi wasio na uwezo nchini sio changamoto tena, baada ya kuanza rasmi kwa kitita cha huduma muhimu chini ya mpango wa bima ya afya…
Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo amezindua rasmi uhakiki, usajili na utoaji wa kadi za bima ya afya kwa wote wilayani humo ambapo katika awamu ya kwanza zaidi ya…
JUMLA ya Sh milioni 84 zinatarajiwa kutekeleza miradi ya ujenzi wa zahanati mbili, shule ya msingi na sekondari wilayani Magu, ikiwa ni mwendelezo jitihada serikali kuimarisha sekta ya elimu na…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema makao makuu ya ulinzi ni alama ya ukomavu wa kielelezo cha uwezo wa Taifa katika kupanga na kutekeleza miradi mikubwa kwa kutumia…
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kuishi kwa misingi ya viapo vyao, akiwasisitiza kuepuka vitendo vinavyovunja heshima…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema hatua ya kukua kwa uchumi wa Taifa na maendeleo yanayoshuhudiwa ni matokeo ya kuimarika kwa hali ya ulinzi na usalama nchini na kwamba hata…
Benki ya NMB imeendeleza jitihada zake za kujenga nguvu kazi yenye ujuzi na maarifa ya kisasa katika sekta ya fedha nchini kwa kusaidia mafunzo ya kitaaluma na kitalaamu kwa vijana…