Ruto: Kampuni za Kenya 500 zimewekeza bilioni 1.7 Tanzania
Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto, amesema Kampuni 500 za Kenya zimewekeza Dola za Marekani bilioni 1.7 nchini Tanzania. Amesema uwekezaji huo umeongeza ajira za mamilioni ya watu na kukuza…
Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto, amesema Kampuni 500 za Kenya zimewekeza Dola za Marekani bilioni 1.7 nchini Tanzania. Amesema uwekezaji huo umeongeza ajira za mamilioni ya watu na kukuza…
Rais wa Kenya, William Ruto, amehimiza kuwapo kwa mshikamano mkubwa wa kikanda kati ya Tanzania na Kenya, huku akiwataja maaduia wakubwa wa nchi hizo ni umasikini na ukosefu wa ajira.…
Serikali ya Tanzania na Kenya zimesaini mikataba nane ya ushirikiano, ikiwa ni ishara ya kuendelea kuimarika kwa uhusiano wa mataifa hayo. Mikataba hiyo imetiwa saini leo, Jumatatu Mei 4, 2026…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais wa Kenya, Dk William Ruto, amempongeza Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, kwa kuonyesha uongozi kipindi cha kuzivuka changamoto zilizotokea Oktoba 29,…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali inalenga kushirikiana na Kenya kuwawezesha vijana katika masuala ya ubunifu na teknolojia. Amesema hatua hiyo, inalenga kuyafanya…
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam HATIMAYE Kocha maarufu kutoka Marekani, Austin Pillado ambaye pia ni Naibu Kocha Mkuu wa timu ya kuogelea kutoka Chuo Washington State, ametua nchini jana…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema biashara ya Tanzania na Rwanda imekua na kufikia Sh644 bilioni mwaka jana, huku uwekezaji nao ukiimarika kati ya pande hizo. Mkuu huyo wa nchi…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaambia wafanyakazi kuwa, tofauti zisigeuke kuwa sababu ya kuhatarisha misingi ya amani, umoja na mshikamo iliyoachwa na waasisi wa Taifa. Dkt Samia ameeleza hayo leo,…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema licha ya changamoto zinazoendelea ulimwenguni, Serikali inafanya kila linalowezekana ili Watanzania wabaki katika hali salama ya maisha. Dkt Samia ameeleza leo Ijumaa…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka wafanyakazi nchini kuchapa kazi na kwamba Serikali ipo inawasikiliza na kuwathamini. Amesema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya kazi na maslahi ya watumishi…