DC Lawuo akagua miradi ya elimu Magu, atoa maagizo
MKUU wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo amekagua miradi ya ujenzi inayohusiana na sekta ya elimu ya msingi katika wilaya hiyo na kutoa maagizo ya kukamilisha miradi hiyo haraka. Aidha,…
MKUU wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo amekagua miradi ya ujenzi inayohusiana na sekta ya elimu ya msingi katika wilaya hiyo na kutoa maagizo ya kukamilisha miradi hiyo haraka. Aidha,…
Ripoti ya Taasisi ya kimataifa ya tathmini ya kiuchumi, Moody's Ratings, imesema Tanzania ni Taifa lenye uchumi unaokua kwa kasi na unaoaminika katika masoko ya fedha ya dunia, kunakoiwezesha kuvutia…
Kupitia Programu ya Uwekezaji kwa Jamii, Benki ya NMB imekabidhi misaada ya madawati 100, viti 100 na meza 100 kwa shule mbili za msingi na moja ya sekondari wilayani Malinyi,…
Rais Samia Suluhu Hassan ameomboleza kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa jimbo kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo aliyefariki dunia usiku wa Februari 19, 2026. Kwa…
Kanisa Katoliki nchini limepata pigo kufuatia kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali Pengo, kilichotokea jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) umekabidhi jengo la kisasa la karakana ya uchomeleaji pamoja na vifaa vya mafunzo kwa…
Muungano wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini Kenya (KAWU) umesitisha mgomo wake ulioanza Jumatatu baada ya maafikiano na wizara ya uchukuzi nchini humo. Kwa mujibu wa taarifa ya Mamlaka…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameeleza kuvutiwa na maendeleo ya mradi wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kutoa kipaumbele cha…
Benki ya NMB imeiwakilisha kikamilifu Tanzania katika maonesho ya uwekezaji ya Mining Indaba 2026, yaliyofanyika jijini Cape Town nchini Afrika Kusini, kuanzia Februari 8 hadi 11. Kupitia maafisa wake waandamizi,…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema hatua ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuteuliwa kuwa kinara wa afya ya mama na…