Dk Samia atoa pongezi kwa Mtanzania aliyetwaa ubingwa wa Gofu Kimataifa
Rais Samia Suluhu Hassan amempongeza mchezaji wa Klabu ya Gofu ya Lugalo, Hawa Wenyeche, kwa kutwaa ubingwa wa mashindano ya Uganda Ladies Open, yaliyoshirikisha wachezaji kutoka Tanzania, Ghana, Japan, Kenya,…
