Samia: Amani na usalama ndiyo msingi wa maendeleo
Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa kulinda amani na usalama wa nchi, akisema ndio msingi wa maendeleo na uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali katika miradi ya kimkakati. Akizungumza leo…
