Samia: Msitumie mabavu kuwaondoa wafanyabiashara wadogo mitaani, barabarani
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amewataka wakuu wa mikoa kuweka utaratibu mzuri utakaowaondoa wafanyabiashara wadogo wanaofanya shughuli zao maeneo yasiyo rasmi kuhamia katika masoko makubwa. Dkt Samia ameeleza hayo Jumatano…
