UN yampongeza Rais Samia kwa kuunda Tume ya Uchunguzi
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amewasilisha ujumbe maalum kwa Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, Volker Türk, jijini Geneva, Uswisi, ikiwa ni hatua ya Tanzania kuendeleza…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amewasilisha ujumbe maalum kwa Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, Volker Türk, jijini Geneva, Uswisi, ikiwa ni hatua ya Tanzania kuendeleza…
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, anatarajiwa kuwasili nchini, kesho Jumamosi, tarehe 07 Februari, 2026 kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Katika ziara hii, Rais Museveni atafanya…
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Hassani Iddi Mwamweta anaongoza ujumbe wa wakulima na wafanyabiashara kutoka Tanzania unaoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Matunda na Mbogamboga ya Fruit Logistica 2026 yanayofanyika Berlin…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC) Dubai, mara baada ya kuhitimisha…
Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imepanga kuongeza mikopo ya halmashauri kwa vijana, wanawake na wenye ulemavu, kutoka asilimia 10 hadi 15, utakapoanza mwaka ujao wa fedha 2026/27.…
Zile fedha kiasi cha Sh. bilioni 200 kwa ajili ya uwezeshaji biashara za vijana na wanawake sio ahadi tena, tayari Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imeshazitoa na…
Na Mwandishi Wetu, Manyara Benki ya NMB imekabidhi vifaa mbalimbali katika shule za Msingi na Sekondari katika Mkoa wa Manyara kwa ajili ya kuboresha mazingira ya ujifunzaji wa wanafunzi na…
Walimu wenye mahitaji maalumu katika Halmashauri ya wilaya ya Magu wamekabidhiwa vifaa saidizi kwa lengo la kuboresha mbinu za ufundishaji na kuongeza ufanisi wa utoaji wa elimu. Vifaa hivyo kutoka…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imepanda nafasi tisa katika orodha ya mataifa yanayotajwa kuwa vituo bora vya uwekezaji duniani, akiwahakikishia wawekezaji kuwepo kwa miundombinu bora ya kukuza biashara.…