Kasi ndogo ya ujenzi barabara ya Ifakara–Mbingu yamchefua Ulega, aonya kuvunjwa kwa mkataba
Morogoro: Februari 15; Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameionya kampuni ya Henan Railway ya China inayotekeleza ujenzi wa barabara ya Ifakara–Mbingu (km 62.5) kuwa Serikali haitasita kuvunja mkataba wake na…
