CAF yaipoka ubingwa Senegal wa AFCON 2025, waipa Morocco
Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) jana Jumanne, Machi 17, 2026 kwamba, kwa mujibu wa Kifungu cha 84 cha Kanuni za Kombe la Mataifa ya…
Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) jana Jumanne, Machi 17, 2026 kwamba, kwa mujibu wa Kifungu cha 84 cha Kanuni za Kombe la Mataifa ya…
Mkuu wa Mkoa wa Pwani (RC), Mheshiwa Abubakar Kunenge amesema ushirikishwaji wananchi kwenye miradi ya maendeleo unaofanywa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni…
Uchapakazi, weledi na heshima ya Rais, Dkt Samia Suluhu Hassan katika uongozi, ilianza kuonekana mapema tangu alipokuwa Makamu wa Rais, kama ilivyowahi kusimuliwa na mtangulizi wake, hayati Dkt John Magufuli.…
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile, amesema idadi ya wataalamu katika sekta ya anga nchini imefikia jumla ya wataalamu 3,993 hadi kufikia Januari 2026. Kihenzile aliyasema hayo aliposhiriki…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) imesema kuwa imejipanga kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika mazingira ya biashara nchini ili kuendelea kuvutia wawekezaji…
Serikali inaomboleza vifo vya wafanyakazi saba wa afya waliofariki baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kupinduka kufuatia upepo mkali katika maji ya Ziwa Tanganyika siku ya Ijumaa. Kwa mujibu wa taarifa…
Serikali ya Marekani imesaini makubaliano ya ushirikiano na Tanzania katika masuala ya kuimarisha jeshi, ulinzi wa amani na usalama wa nchi dhidi ya maadui. Ushirikiano huo uliosainiwa kupitia Programu ya…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imechukua hatua ya kuwahamisha wananchi Ngorogoro kwa sababu eneo hilo lina baionuai nzuri kushinda mengine na fursa lukuki za utalii. Sio hivyo tu,…
Kuna ndoto nyingi za wanawake nchini Tanzania zinazohusiana na kukuza biashara, kujitegemea kiuchumi na kuboresha maisha yao. Ili kusaidia kufungua ndoto hizo na kuziwezesha kufikiwa, Benki ya NMB imezindua rasmi…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameendelea kudhihirisha utu katika uongozi wake, baada ya kumuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa wilayani Nzega, Mkoa wa Tabora. Mtoto huyo…