Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article CAF yaipoka ubingwa Senegal wa AFCON 2025, waipa Morocco

CAF yaipoka ubingwa Senegal wa AFCON 2025, waipa Morocco

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 18, 2026
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) jana Jumanne, Machi 17, 2026 kwamba, kwa mujibu wa Kifungu cha 84 cha Kanuni za Kombe la Mataifa ya…

Continue ReadingCAF yaipoka ubingwa Senegal wa AFCON 2025, waipa Morocco
Read more about the article RC Kunenge aipongeza DAWASA, awapa jukumu madiwani

RC Kunenge aipongeza DAWASA, awapa jukumu madiwani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 17, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mkuu wa Mkoa wa Pwani (RC), Mheshiwa Abubakar Kunenge amesema ushirikishwaji wananchi kwenye miradi ya maendeleo unaofanywa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni…

Continue ReadingRC Kunenge aipongeza DAWASA, awapa jukumu madiwani
Read more about the article Hayati Magufuli: Nasema bila unafiki Mama Samia ni mchapakazi

Hayati Magufuli: Nasema bila unafiki Mama Samia ni mchapakazi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 17, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Uchapakazi, weledi na heshima ya Rais, Dkt Samia Suluhu Hassan katika uongozi, ilianza kuonekana mapema tangu alipokuwa Makamu wa Rais, kama ilivyowahi kusimuliwa na mtangulizi wake, hayati Dkt John Magufuli.…

Continue ReadingHayati Magufuli: Nasema bila unafiki Mama Samia ni mchapakazi
Read more about the article Idadi ya wataalamu sekta ya anga yafikia 3993

Idadi ya wataalamu sekta ya anga yafikia 3993

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 17, 2026
  • Post category:Usafiri wa Anga

Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile, amesema idadi ya wataalamu katika sekta ya anga nchini imefikia jumla ya wataalamu 3,993 hadi kufikia Januari 2026. Kihenzile aliyasema hayo aliposhiriki…

Continue ReadingIdadi ya wataalamu sekta ya anga yafikia 3993
Read more about the article Serikali yajipanga kutatua changamoto za mazingira ya biashara nchini

Serikali yajipanga kutatua changamoto za mazingira ya biashara nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 16, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) imesema kuwa imejipanga kutatua changamoto mbalimbali zilizopo katika mazingira ya biashara nchini ili kuendelea kuvutia wawekezaji…

Continue ReadingSerikali yajipanga kutatua changamoto za mazingira ya biashara nchini
Read more about the article Samia atuma salamu za rambirambi vifo vya wahudumu saba wa afya Kigoma

Samia atuma salamu za rambirambi vifo vya wahudumu saba wa afya Kigoma

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 14, 2026
  • Post category:Usafiri wa Majini

Serikali inaomboleza vifo vya wafanyakazi saba wa afya waliofariki baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kupinduka kufuatia upepo mkali katika maji ya Ziwa Tanganyika siku ya Ijumaa. Kwa mujibu wa taarifa…

Continue ReadingSamia atuma salamu za rambirambi vifo vya wahudumu saba wa afya Kigoma
Read more about the article Marekani kushirikiana na Tanzania kuimarisha ulinzi

Marekani kushirikiana na Tanzania kuimarisha ulinzi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 13, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Serikali ya Marekani imesaini makubaliano ya ushirikiano na Tanzania katika masuala ya kuimarisha jeshi, ulinzi wa amani na usalama wa nchi dhidi ya maadui. Ushirikiano huo uliosainiwa kupitia Programu ya…

Continue ReadingMarekani kushirikiana na Tanzania kuimarisha ulinzi
Read more about the article Dkt. Samia afichua fursa zilizojificha Ngorongoro

Dkt. Samia afichua fursa zilizojificha Ngorongoro

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 12, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imechukua hatua ya kuwahamisha wananchi Ngorogoro kwa sababu eneo hilo lina baionuai nzuri kushinda mengine na fursa lukuki za utalii. Sio hivyo tu,…

Continue ReadingDkt. Samia afichua fursa zilizojificha Ngorongoro
Read more about the article NMB JASIRI yazinduliwa kuwainua wanawake kiuchumi

NMB JASIRI yazinduliwa kuwainua wanawake kiuchumi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 12, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Kuna ndoto nyingi za wanawake nchini Tanzania zinazohusiana na kukuza biashara, kujitegemea kiuchumi na kuboresha maisha yao. Ili kusaidia kufungua ndoto hizo na kuziwezesha kufikiwa, Benki ya NMB imezindua rasmi…

Continue ReadingNMB JASIRI yazinduliwa kuwainua wanawake kiuchumi
Read more about the article Rais Samia amuasili mtoto aliyetelekezwa Tabora

Rais Samia amuasili mtoto aliyetelekezwa Tabora

  • Post author:Gabriel
  • Post published:March 11, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameendelea kudhihirisha utu katika uongozi wake, baada ya kumuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa wilayani Nzega, Mkoa wa Tabora. Mtoto huyo…

Continue ReadingRais Samia amuasili mtoto aliyetelekezwa Tabora
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu