Butiku: Dkt Samia ndiye Rais, tukubaliane na uhalisia Watanzania
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere (MNF) Joseph Butiku amewataka Watanzania kukubaliana na uhalisia kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndiye kiongozi wa Taifa hili. Mzee Butiku mbali na…
