DAWASA yaanika mikakati kuimarisha huduma ya maji
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imesema inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati ya kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika Jiji…
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imesema inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati ya kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika Jiji…
Rais wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, amesema anathamini kwa kiwango kikubwa uongozi wa Rais wa Samia Suluhu Hassan, akisema umekuwa chanzo cha hamasa na msukumo katika safari yake ya uongozi. Ameeleza…
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema licha ya uhusiano mzuri wa kihistoria kati ya Tanzania na Namibia, bado kuna safari ya kuhakikisha hatua hiyo inaendana na kiwango cha maendeleo ya kiuchumi…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Jumamosi amepokea Rais wa Namibia, Dkt Netumbo Nandi-Ndaitwah, katika Ikulu ya Dar es Salaam, ikiwa ni mwanzo wa ziara…
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili Zanzibar, Hamza Hassan Juma amesema hakuna mwananchi wa Tanzania Bara, aliyezuiwa kuingia kazini kwa kigezo cha kutakiwa kuwa…
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), chini ya Mwenyekiti wake, Mhandisi Romanus Mwang’ingo, imefanya ziara katika maeneo mbalimbali ya Jiji la…
Bunge la Seneti la Marekani limefanya mabadiliko katika Muswada wa Mapitio ya Uhusiano wa Uwili kati ya Marekani na Tanzania kwa kulegeza masharti kuhusu hatua zinazotakiwa kuchukuliwa na Tanzania katika…
Bunge la Seneti la Marekani limetaka kuanza kwa mazungumzo ya maridhiano kati ya Serikali inayoongozwa na CCM na vyama vya upinzani, ikiwa ni sehemu ya mapitio ya uhusiano wa kidiplomasia…
Serikali ya Marekani na Jamhuri ya Iran zimekubaliana kuheshimu mamlaka, mipaka ya kila mmoja na kutoingilia mambo ya ndani ya nchi husika, ikiwa ni sehemu ya makubaliano kadhaa yaliyofikiwa kufuatia…
Na Mwandishi Wetu, Pwani Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhandisi Romanus Mwang’ingo, imekagua zoezi la ufungaji…