Baraza la wafanyakazi Magu lapata makatibu wapya
BARAZA la Wafanyakazi Magu limewachagua Lilian Michael kuwa katibu wa baraza pamoja na Allypius Pauliny kuwa katibu msaidizi. Uchaguzi huo uliosimamiwa na Afisa Kazi wa mkoa wa Mwanza, Peace Felix…
BARAZA la Wafanyakazi Magu limewachagua Lilian Michael kuwa katibu wa baraza pamoja na Allypius Pauliny kuwa katibu msaidizi. Uchaguzi huo uliosimamiwa na Afisa Kazi wa mkoa wa Mwanza, Peace Felix…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, ameahidi Serikali kuendelea kulinda na kuheshimu uhuru wa mahakama ili kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi. Dkt Samia ameeleza hayo…
Mahakama ya Rufani nchini, imetupilia mbali rufani iliyowasilishwa na Benki za Standard Chartered Hong Kong (SCBH) na Standard Chartered Bank Malaysia Berhad, kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu. Pingamizi hilo lilihusu…
Na Mwandishi wetu, Singida Wananchi mkoani Singida wameipongeza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa uboreshaji wa huduma mbalimbali , ikiwemo ya upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya saa 48 za…
Alhamisi hii rais wa Uganda Yoweri Museveni atakuwa katika jaribio jingine la kutaka raia wa nchi hiyo wamuongezee muda zaidi wa utawala wake uliodumu kwa karibu miongo minne, uchaguzi ambao…
Na Mwandishi Wetu, Singida Serikali ipo mbioni kuandaa Sera ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheriaitakayoweka misingi ya kuboresha na kuimarisha upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi kote nchini.…
Majukumu ya kuiongoza nchi, hayakumzuia Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutenga muda wa kuangalia mechi za timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars.’ Hata hivyo, kuangalia ni jambo moja, lakini…
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema tuzo ilizotunukiwa Tanzania ikiwemo ya kuwa kituo bora cha utalii duniani ni uthibitisho wa sifa nzuri ilizonazo, huku akisema waliotaka kuivuruga amani ili kuichafua nchi,…
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kumteua Makamu wa Rais mstaafu, Dkt Philip Mpango kuwa mshauri wake wa masuala ya uchumi na miradi. Pamoja naye, ametangaza kumemteua Waziri Mkuu mstaafu, Kassim…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametaja sababu za kumteua Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalumu), akisema ni kiongozi mzoefu na mwenye…