Kimara Stop Over waanza kupata maji, DAWASA yaeleza mikakati
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wa mitaa mbalimbali eneo la Kimara Stop over, Kata ya Kimara Wilaya ya Ubungo wameanza kupata huduma ya majisafi baada ya Mamlaka ya…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wa mitaa mbalimbali eneo la Kimara Stop over, Kata ya Kimara Wilaya ya Ubungo wameanza kupata huduma ya majisafi baada ya Mamlaka ya…
Serikali imesema uamuzi wake wa kusitisha kwa muda utoaji wa vibali vya mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa umetokana na sababu za kiusalama baada ya kubainika viashiria, dalili na…
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imebaini na kuwakamata baadhi ya watu wanaowalipa na kuwaandikisha vijana wa Kitanzania ili kuwapeleka barabarani (kuandamana). Mwigulu, ameeleza hayo leo, Jumamosi Julai 27, 2026…
Na Mwandishi Wetu, Singida Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amesema Serikali haina mzaha kuhusu ulinzi wa Watanzania na rasilimali za nchi, akifafanua masuala hayo hayana upande. Dk Mwigulu amesema mwaka…
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Magu kwa kupata hati inayoridhisha ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa miaka minne mfululizo.…
Rais Samia Suluh inu Hassan, amesema malengo ya Serikali ni kuhakikisha huduma bora za afya zinakuwa haki kwa kila Mtanzania. Ili kutimiza hilo, amesema katika mwaka wa fedha 2026/27 Serikali…
Na Mwandishi Wetu, Kigoma Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imesema kuwa mradi wa ukarabati na uboreshaji wa Kiwanja cha Ndege Kigoma umefikia asilimia 60 ya utekelezaji.…
Na Mwandishi Wetu, Moshi Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inasogeza karibu huduma zote za afya ikiwemo ya saratani ili kurahisisha matibabu bingwa kwa Watanzania. Dkt Samia ameeleza hayo…
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Simai Said, amewataka Watanzania kuelekeza mjadala kwenye utekelezaji wa Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2026/2027, akisisitiza kuwa hicho ndicho kipaumbele kitakachochochea maendeleo…
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Simai Said, amewataka Watanzania kuelekeza mjadala kwenye utekelezaji wa Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2026/2027, akisisitiza kuwa hicho ndicho kipaumbele kitakachochochea maendeleo…