Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Rais wa mpito Venezuela aapishwa, Maduro akikana mashtaka

Rais wa mpito Venezuela aapishwa, Maduro akikana mashtaka

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 6, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Delcy Rodríguez ameapishwa kuwa rais wa mpito wa Venezuela katika kikao cha bunge kilichoanza kwa wito wa kuachiliwa kwa rais aliyeondolewa na kuzuiliwa nchini Marekani Nicolás Maduro. Rodríguez, 56 ambaye…

Continue ReadingRais wa mpito Venezuela aapishwa, Maduro akikana mashtaka
Read more about the article Waziri Homera azindua huduma bure za msaada wa kisheria  Morogoro
Dkt. Juma Homera

Waziri Homera azindua huduma bure za msaada wa kisheria  Morogoro

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 6, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua kliniki ya huduma za msaada wa kisheria (Legal Aid Clinic) mkoani Morogoro, itakayotoa huduma za ushauri na…

Continue ReadingWaziri Homera azindua huduma bure za msaada wa kisheria  Morogoro
Read more about the article NMB yajivunia ushiriki, udhamini wa matukio Sherehe za Mapinduzi Z’bar

NMB yajivunia ushiriki, udhamini wa matukio Sherehe za Mapinduzi Z’bar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 1, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR WAKATI Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ikiitunukia Cheti cha Shukrani na Pongezi kwa kufadhili, kudhamini na kushiriki Siku ya Kitaifa ya Mazoezi, Benki ya NMB imetambia…

Continue ReadingNMB yajivunia ushiriki, udhamini wa matukio Sherehe za Mapinduzi Z’bar
Read more about the article TRC yasitisha safari za treni SGR kati ya Morogoro – Dodoma

TRC yasitisha safari za treni SGR kati ya Morogoro – Dodoma

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 31, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Continue ReadingTRC yasitisha safari za treni SGR kati ya Morogoro – Dodoma
Read more about the article Samia: Tusherehekee mwaka mpya kwa amani, utulivu
Rais Samia Suluhu Hassan

Samia: Tusherehekee mwaka mpya kwa amani, utulivu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 31, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kusherehekea Sikukuu za kumaliza mwaka na kuanza mwaka mpya kwa amani na salama. Pia, amewataka Watanzania wautumie mwaka 2026 kufanya kazi kwa bidii,…

Continue ReadingSamia: Tusherehekee mwaka mpya kwa amani, utulivu
Read more about the article Dkt. Samia: 2026 mwanzo utekelezaji wa dira
Dira mpya

Dkt. Samia: 2026 mwanzo utekelezaji wa dira

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 31, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan amesema mwaka 2026, ndipo Tanzania inaanza utekelezaji wa Dira yake ya Taifa ya Maendeleo mwaka 2050. Katika kipindi hicho, amesema Serikali itaendelea kutekeleza mkakati wa muda…

Continue ReadingDkt. Samia: 2026 mwanzo utekelezaji wa dira
Read more about the article  Dkt. Samia: Poleni wananchi kwa uhaba wa maji, 2026 utakwisha

 Dkt. Samia: Poleni wananchi kwa uhaba wa maji, 2026 utakwisha

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 31, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa wananchi baada ya kukabiliwa na uhaba wa maji, akisema umesababishwa na upungufu wa mvua katika kipindi cha miezi saba ya mwaka 2025 uliochochea…

Continue Reading Dkt. Samia: Poleni wananchi kwa uhaba wa maji, 2026 utakwisha
Read more about the article Dk. Samia:2026 tumejipanga kujenga umoja wa kitaifa nchini
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

Dk. Samia:2026 tumejipanga kujenga umoja wa kitaifa nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 31, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Wakati Watanzania wakiuanza mwaka mpya, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mwaka 2026 Serikali imejipanga kujenga umoja wa kitaifa nchini. Dkt Samia ameeleza hayo…

Continue ReadingDk. Samia:2026 tumejipanga kujenga umoja wa kitaifa nchini
Read more about the article SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 28, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

NA MWANDISHI WETU, ZANZIBAR SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa Mashindano ya Mapinduzi Cup , unaobadili rasmi jina la…

Continue ReadingSMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup
Read more about the article Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA

Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 24, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali imezitaka jamii zenye watoto walio chini ya umri wa miaka 18 na makundi mengine maalum yanayokabiliwa na changamoto za usimamizi wa mirathi kutoa taarifa kwa…

Continue ReadingKatimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu