Rais Samia: Tutatumia sekta ya kilimo kama msingi wa kukuza biashara
Rais wa Samia Suluhu Hassan amesema sekta ya kilimo inatarajiwa kuwa nguzo muhimu katika kukuza biashara na ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na Urusi kwa miaka ijayo. Akizungumza katika…
