Jaji Chande: Wanasiasa, wanaharakati walichochea ghasia Oktoba 29
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu Amani Oktoba, 2025 imesema baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia changamoto za wananchi kuwashawisha na kuwachochoea kushiriki…
