TRA yakusanya trilioni 3.58 mwezi Machi 2026
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi trilioni 3.58 kwa mwezi Machi pekee sawa na ufanisi wa asilimia 107.6 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 3.32 makusanyo…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi trilioni 3.58 kwa mwezi Machi pekee sawa na ufanisi wa asilimia 107.6 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 3.32 makusanyo…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwa kwenye mazungumzo na wagombea wa nafasi ya urais na wagombea wenza kutoka vyama vya siasa 16 vilivyoshiriki Uchaguzi…
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amesema kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara katika ukaguzi wa mwaka wa fedha wa 2024/25.…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAELFU ya wakazi wa Mbagala na vitongoji vyake katika Manispaa ya Temeke, Jijini Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi kupima macho, kupata ushauri nasaha…
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza viongozi wa kitaifa, familia, na wananchi kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge na Wenye Ulemavu), William…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila, amesema Serikali kupitia TARURA…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imepokea madai 248 kutoka kwa wadau na taasisi mbalimbali kwa iliyokuwa kampuni ya kukopesha fedha ya Pride…
BENKI ya NMB na Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (DarTU – zamani TUDARCo), wamesaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) wa Kimkakati, wenye lengo la kujenga mfumo rasmi wa uandaaji…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) imesema ipo mbioni kuanzisha Kituo cha Kimataifa cha Kuduma za kifedha ( IFC) hapa nchini ili…