Samia aagiza fedha za sherehe zikarabati miundombinu iliyoharibiwa Oktoba 29
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameagiza fedha za sherehe zilizopangwa kuadhimisha Desemba 9, 2025 zitumike kukarabati na kuboresha miundombinu iliyoharibiwa na vurugu za Oktoba…
