Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article TAMISA yahamasisha vijana kuchangamkia fursa za uwekezaji sekta ya madini

TAMISA yahamasisha vijana kuchangamkia fursa za uwekezaji sekta ya madini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 4, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kimewataka vijana na Watanzania kwa ujumla kuchangamkia fursa mbalimbali  zinazopatikana katika kufanya biashara ya…

Continue ReadingTAMISA yahamasisha vijana kuchangamkia fursa za uwekezaji sekta ya madini
Read more about the article Rais Samia aanza ziara Dubai, ateta na mkuu wa shirika la utalii UN

Rais Samia aanza ziara Dubai, ateta na mkuu wa shirika la utalii UN

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 3, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Leo Jumanne, Februari 3, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameanza ziara ya kikazi nchini Dubai, UAE kwa kufanya mazungumzo na viongozi na wadau wa…

Continue ReadingRais Samia aanza ziara Dubai, ateta na mkuu wa shirika la utalii UN
Read more about the article RITA kuwanoa wajumbe Bodi za wadhamini mikoa sita
Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bw. Frank Kanyusi Frank

RITA kuwanoa wajumbe Bodi za wadhamini mikoa sita

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 3, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kuongezeka kwa matukio ya ubadhirifu, migogoro na usimamizi usioridhisha katika baadhi ya taasisi za kidini, vyama vya michezo na asasi za kiraia, Wakala wa Usajili Ufilisi…

Continue ReadingRITA kuwanoa wajumbe Bodi za wadhamini mikoa sita
Read more about the article Tanzania yafungua milango kuimarisha uhusiano wake na EU

Tanzania yafungua milango kuimarisha uhusiano wake na EU

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 1, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Serikali ya Tanzania imefanya mazungumzo na viongozi wakuu wa Umoja wa Ulaya (EU) jijini Brussels nchini Ubelgiji, hatua inayofungua zaidi milango ya kuimarika kwa diplomasia kati ya pande hizo. Katika…

Continue ReadingTanzania yafungua milango kuimarisha uhusiano wake na EU
Read more about the article Dkt. Samia alivyotumia siku 100 kubadili msingi wa elimu

Dkt. Samia alivyotumia siku 100 kubadili msingi wa elimu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:February 1, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Imechukua chini ya siku 100 kwa Serikali chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, kukamilisha maandalizi na kuzindua mpango mkakati wa kisayansi kuhakikisha mwanafunzi anakuwa na umahiri wa kusoma, kuandika…

Continue ReadingDkt. Samia alivyotumia siku 100 kubadili msingi wa elimu
Read more about the article Wanafunzi 77 wafutiwa matokeo ya kidato cha nne, ufaulu wapanda

Wanafunzi 77 wafutiwa matokeo ya kidato cha nne, ufaulu wapanda

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 31, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika kuanzia 17 Novemba 2025, Matokeo hayo yametangazwa leo Jumamosi 31 Januari 2026 na Katibu Mtendaji wa…

Continue ReadingWanafunzi 77 wafutiwa matokeo ya kidato cha nne, ufaulu wapanda
Read more about the article Ajira mpya za Dkt. Samia kicheko, waanza kula matunda

Ajira mpya za Dkt. Samia kicheko, waanza kula matunda

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 30, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti, Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema watumishi wa ajira mpya 8,416 kati ya 12,000 zilizoahidiwa na Rais Samia Suluhu Hassan wamepangiwa vituo…

Continue ReadingAjira mpya za Dkt. Samia kicheko, waanza kula matunda
Read more about the article Baraza la madiwani Magu lapitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti sh. bilioni 73.25

Baraza la madiwani Magu lapitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti sh. bilioni 73.25

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 29, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Baraza la madiwani halmashauri ya Wilaya ya Magu limepitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ambapo halmashauri iliomba kuidhinishiwa jumla ya shilingi Bilioni 73.25…

Continue ReadingBaraza la madiwani Magu lapitisha mapendekezo ya rasimu ya mpango na bajeti sh. bilioni 73.25
Read more about the article Madiwani Magu DC wapigwa msasa utekelezaji wa bima ya afya kwa wote

Madiwani Magu DC wapigwa msasa utekelezaji wa bima ya afya kwa wote

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 29, 2026
  • Post category:Uncategorized

Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Magu wamepatiwa mafunzo maalum kuhusu utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote, kufuatia serikali kutangaza rasmi kuanza kwa utekelezaji wa sheria hiyo nchini Januari…

Continue ReadingMadiwani Magu DC wapigwa msasa utekelezaji wa bima ya afya kwa wote
Read more about the article Dkt. Samia: Kilichofanyika leo kitapongezwa na UN

Dkt. Samia: Kilichofanyika leo kitapongezwa na UN

  • Post author:Gabriel
  • Post published:January 29, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema uzinduzi wa Mkakati wa Kisayansi wa Kujenga Umahiri wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) umetekeleza lengo namba nne kwenye malengo endelevu ya…

Continue ReadingDkt. Samia: Kilichofanyika leo kitapongezwa na UN
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu