Samia atuma salamu za rambirambi vifo vya wahudumu saba wa afya Kigoma
Serikali inaomboleza vifo vya wafanyakazi saba wa afya waliofariki baada ya mashua waliyokuwa wakisafiria kupinduka kufuatia upepo mkali katika maji ya Ziwa Tanganyika siku ya Ijumaa. Kwa mujibu wa taarifa…
