Rais Dkt Samia alivyotimiza azma ya Kardinali Pengo
Makamu wa Rais, Balozi Emmanuel Nchimbi ameeleza namna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan alivyoridhia kutoa ndege ya huduma za dharura kwa wagonjwa ili kufanikisha…
Makamu wa Rais, Balozi Emmanuel Nchimbi ameeleza namna Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan alivyoridhia kutoa ndege ya huduma za dharura kwa wagonjwa ili kufanikisha…
Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (HRC) limeipongeza Tanzania kwa kuonesha mwenendo mzuri wa kulinda haki za binadamu na amani, huku hali hiyo ikitajwa kuzorota katika mataifa…
Jumla ya Sh12.4 bilioni zimeshatolewa na Benki ya NMB kwa zaidi ya wafanyabiashara 6,011 ambao pia wamenufaika kwa kupatiwa elimu ya fedha na uongozi. Takwimu hizo zimetolewa na Meneja Mwandamizi…
MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amekiri kupokea taarifa za kukamatwa kwa meli ya FMS Eagles yenye bendera ya Tanzania, inayodaiwa kukutwa na tani 6.6 za dawa za kulevya nchini…
WIZARA ya Afya imetoa tahadhari kwa wananchi kuhusu ongezeko la magonjwa ya mlipuko yakiwemo mafua makali ya Influenza, UVIKO-19, homa ya Dengue na Kipindupindu na kutoa wito kwa jamii kuzingatia…
Na Mwandishi Wetu, Dar Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imeivunja rasmi Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania kufuatia kubainika kwa mapungufu makubwa katika usimamizi wa…
Upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi wasio na uwezo nchini sio changamoto tena, baada ya kuanza rasmi kwa kitita cha huduma muhimu chini ya mpango wa bima ya afya…
Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo amezindua rasmi uhakiki, usajili na utoaji wa kadi za bima ya afya kwa wote wilayani humo ambapo katika awamu ya kwanza zaidi ya…
JUMLA ya Sh milioni 84 zinatarajiwa kutekeleza miradi ya ujenzi wa zahanati mbili, shule ya msingi na sekondari wilayani Magu, ikiwa ni mwendelezo jitihada serikali kuimarisha sekta ya elimu na…
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema makao makuu ya ulinzi ni alama ya ukomavu wa kielelezo cha uwezo wa Taifa katika kupanga na kutekeleza miradi mikubwa kwa kutumia…