Obura Odinga ateuliwa Raila kumrithi ODM
Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimemteua Seneta wa Siaya, Dkt. Oburu Odinga, kuwa kaimu kiongozi wa chama kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga, aliyefariki dunia…
Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimemteua Seneta wa Siaya, Dkt. Oburu Odinga, kuwa kaimu kiongozi wa chama kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga, aliyefariki dunia…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Kagera kupeleka boti tano zitakotumika kuimarisha usalama na kusafirisha wagonjwa. Pia, Samia amefafanua kuwa boti hizo zitatumika…
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na mwanachama wa ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina pamoja na ACT- Wazalendo kupinga kuondolewa kwenye orodha ya wagombea Urais…
Salamu za rambirambi zinatoka sehemu tofauti ya bara la Afrika baada ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga. Odinga ameaga dunia nchini India leo Jumatano, ambapo alikuwa…
Na Mwandishi Wetu, Pwani PROGRAMU Endelevu ya usambazaji wa Elimu ya Fedha, Huduma Jumuishi za Kibenki, Utunzaji Mazingira na Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa wananchi vijijini ‘NMB Kijiji…
Mwanasiasa maarufu wa Kenya, Raila Odinga, Waziri Mkuu wa zamani, amefariki dunia leo Jumatano, Oktoba 15, 2025, katika hospitali ya Sreedhareeyam Ayurvedic Eye Hospital & Research Centre, Koothattukulam, Kerala, India,…
Jeshi la Madagascar limechukua madaraka kutoka kwa serikali ya kiraia baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbia nchi, hatua iliyotangazwa na kamanda wa juu wa jeshi Kanali Michael Randrianirina mjini Antananarivo.…
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam Benki ya NMB imefadhili ziara ya kibiashara ya wafanyabiashara 28, ambayo inalenga kuwapa uzoefu wa moja kwa moja wa masoko ya China na kuwaonesha…
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limebariki Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, huku likikemea matukio ya utekaji na kupotea kwa watu. Katika msisitizo wake kuhusu uchaguzi, TEC imewataka wananchi kuongozwa…
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje ametangaza kukihama chama hicho na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Uamuzi wa Wenje, unakuja katikati ya nyakati…