Asilimia 90 ya Watanzania wamefuatilia kampeni za Samia
Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, zimebakiza siku moja kutamatishwa, huku Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akiweka rekodi ya mikutano yake kufuatiliwa…
