Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Equinor yafanya ziara bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG

Equinor yafanya ziara bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 18, 2026
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Mtwara Kampuni ya Equinor kutoka Norway, ambayo ni miongoni mwa kampuni zinazotarajiwa kuwekeza  katika mradi wa gesi asilia (LNG), imefanya ziara katika Bandari ya Mtwara kujionea maboresho…

Continue ReadingEquinor yafanya ziara bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG
Read more about the article NMB yatoa milioni 500 kuimarisha huduma za upandikizaji figo na uboho BMH

NMB yatoa milioni 500 kuimarisha huduma za upandikizaji figo na uboho BMH

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 16, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imeahidi kutoa Sh milioni 500 ndani ya kipindi cha miaka miwili kwa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), kusaidia upanuzi wa huduma…

Continue ReadingNMB yatoa milioni 500 kuimarisha huduma za upandikizaji figo na uboho BMH
Read more about the article EACOP yasaidia fedha vikundi 16 kuinua uchumi Tanga

EACOP yasaidia fedha vikundi 16 kuinua uchumi Tanga

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 16, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Tanga Serikali imeipongeza Kampuni ya Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kuendelea kuchangia maendeleo ya jamii baada ya kutoa shilingi milioni 33.6 kusaidia kuboresha…

Continue ReadingEACOP yasaidia fedha vikundi 16 kuinua uchumi Tanga
Read more about the article Uwanja mpya wa gofu hifadhi ya Serengeti kivutio kipya cha watalii nchini

Uwanja mpya wa gofu hifadhi ya Serengeti kivutio kipya cha watalii nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 15, 2026
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Na Mwandishi Wetu, Manyara Uwanja mpya wa Kimataifa wa gofu unaojengwa pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti unatarajiwa kuwa miongoni mwa viwanja maarufu duniani kutokana na sifa zake za…

Continue ReadingUwanja mpya wa gofu hifadhi ya Serengeti kivutio kipya cha watalii nchini
Read more about the article Benki ya Dunia yaimwagia Tanzania trilioni 14 kupiga jeki elimu, kaya maskini

Benki ya Dunia yaimwagia Tanzania trilioni 14 kupiga jeki elimu, kaya maskini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 15, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Benki ya Dunia, Kupitia Bodi yake ya Wakurugenzi, imeiidhinishia Tanzania dola za Marekani milioni 550 sawa na zaidi ya shilingi trilioni 1.4 kwa ajili ya kutekeleza miradi miwili ya kimkakati…

Continue ReadingBenki ya Dunia yaimwagia Tanzania trilioni 14 kupiga jeki elimu, kaya maskini
Read more about the article Ufaulu sekondari Magu wazidi kupaa, walimu, wanafunzi wapongezwa

Ufaulu sekondari Magu wazidi kupaa, walimu, wanafunzi wapongezwa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 15, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Mwanza WALIMU na wanafunzi katika halmashauri ya wilaya ya Magu wamepongezwa kwa jitihada za kuongeza ufaulu wa mitihani kidato cha sita, nne na pili katika mwaka 2025.…

Continue ReadingUfaulu sekondari Magu wazidi kupaa, walimu, wanafunzi wapongezwa
Read more about the article Waziri Homera azitaka bodi za wadhamini  kuwajibika zaidi

Waziri Homera azitaka bodi za wadhamini  kuwajibika zaidi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 14, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Zuberi Homera, amewataka wajumbe wa bodi za wadhamini nchini kuzingatia kikamilifu sheria, uwajibikaji na uadilifu katika usimamizi wa mali…

Continue ReadingWaziri Homera azitaka bodi za wadhamini  kuwajibika zaidi
Read more about the article Wamiliki mabasi: Huduma zinaendelea hatugomi, Rais Samia ametusikiliza

Wamiliki mabasi: Huduma zinaendelea hatugomi, Rais Samia ametusikiliza

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 11, 2026
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Tunaposema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Sikivu tunamaanisha.Hii limedhiirika baada ya Serikali kupokea na kuahidi kuyafanyia kazi maombi ya wasafirishaji. Wasafirishaji hao wakiwemo…

Continue ReadingWamiliki mabasi: Huduma zinaendelea hatugomi, Rais Samia ametusikiliza
Read more about the article Dkt. Samia atunukiwa shahada nyingine ya heshima
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

Dkt. Samia atunukiwa shahada nyingine ya heshima

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 11, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Juhudi, maarifa na uongozi bora wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, umeendelea kumpa heshima mbele ya dunia, baada ya Chuo Kikuu cha Nasarawa nchini Nigeria kumtunuku shahada ya heshima. Shahada…

Continue ReadingDkt. Samia atunukiwa shahada nyingine ya heshima
Read more about the article Wakazi Dar waipongeza NMB ikizindua huduma za matawi yanayotembea
Screenshot

Wakazi Dar waipongeza NMB ikizindua huduma za matawi yanayotembea

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 10, 2026
  • Post category:Habari Mchanganyiko

NA MWANDISHI WETU BENKI ya NMB imepuliza rasmi kipyenga cha matumizi ya Magari Maalum Yanayotoa Huduma za Kibenki (Matawi Yanayotembea – Bank on Wheels), huku wakazi wa Dar es Salaam…

Continue ReadingWakazi Dar waipongeza NMB ikizindua huduma za matawi yanayotembea
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu