British Airways kutua Tanzania kutokea London Uingereza
Shirika la Ndege la nchini Uingereza, British Airways limetangaza kuanza safari za moja kwa moja kutoka London kwenda Kilimanjaro na Zanzibar nchini Tanzania. Safari hizo zinazotarajiwa kuanzia Mei 29, 2027,…
Watendaji kata, maofisa afya Magu mguu sawa kukabiliana na El nino
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Magu, Mohamed Ramadhani amewaagiza watendaji wa kata pamoja na maofisa afya wa wilaya hiyo kuendelea kuelimisha jamii namna ya kujikinga na maafa yanayoweza kutokea…
MOI yaanza kutumia mbinu mpya kutibu kiharusi
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza kutumia teknolojia ya kisasa kutoa matibabu ya kibingwa ya upasuaji wa ubongo kwa wagonjwa wa kiharusi inayongeza ufanisi wa matibabu…
Waosha magari, wauza maua wapewa somo upotevu maji
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imewataka wafanyabiashara wanaotegemea maji katika shughuli zao, wakiwemo waosha magari, wafyatua matofali na watunza bustani, kushiriki katika kudhibiti upotevu…
Dkt. Mwigulu: Tutengeneze mabilionea watanzania kupitia madini
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka vijana wa Kitanzania wachangamkie fursa zilizopo katika sekta ya madini ili wanufaike na utajiri wa rasilimali hizo na kujenga biashara kubwa za Kitanzania. Amesema…
Laporta ampa Rais Samia salamu za pole kufuatia kifo cha mwenza wake
Rais wa FC Barcelona, Joan Laporta, ametoa salamu za pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kufuatia kifo cha mwenza wake, Mzee Hafidh…
Naibu waziri aipongeza Magu kuvutia wawekezaji sekta ya uvuvi
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Ng’wasi Kamani ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Magu kwa kuweka mazingira bora yanayovutia wawekezaji mbalimbali hususani katika sekta ya ufugaji wa samaki hali inayochangia…
Wakili wa Serikali ambana Heche kwa maswali mahakamani
Wakili wa Serikali Mkuu, Nassoro Katuga amembana Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche kwa maswali magumu kutoka upande wa Jamhuri katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu…
- 1
- 2
- 3
- 4
- …
- 144
- Go to the next page
