Dkt Samia: Wavuvi wanufaike ujenzi taasisi ya sayansi ya bahari
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema uamuzi wa Serikali kujenga Taasisi ya Sayansi za Bahari (UDSM-IMS) visiwani Zanzibar, umelenga kuchochea ajira na kuufikia uchumi jumuishi. Ametaka wananchi wanaoishi maeneo ya…
