Waziri ahukumiwa kifo kwa ubadhirifu
MAHAKAMA ya Watu ya Kati katika mji wa Changchun, Mkoa wa Jilin, imemhukumu Waziri wa zamani wa Kilimo na Masuala ya Vijijini wa China, Tang Renjian, adhabu ya kifo itakayositishwa…
MAHAKAMA ya Watu ya Kati katika mji wa Changchun, Mkoa wa Jilin, imemhukumu Waziri wa zamani wa Kilimo na Masuala ya Vijijini wa China, Tang Renjian, adhabu ya kifo itakayositishwa…
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo unakwenda kujengwa eneo la Mbegani mkoani Pwani. Amesema hatua hiyo,…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Watanzania kuhusu usalama siku ya upigaji kura, akisema Serikali yake imejipanga vema. Dkt Samia ameyasema hayo leo, Jumapili…
Rais mstaafu wa Tanzania, Dkt Jakaya Kikwete amemtaja Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa mama mwema, anayejali changamoto za wananchi na mwepesi wa kuchukua…
Na Mwandishi Wetu , Arusha Serikali ya Norway imeipongeza Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga – World Vegetable Centre (WorldVeg), Kanda ya Mashariki na Kusini…
Na Mwandishi Wetu, Manyara Mkuu wa Wilaya ya Kitete Bw Remidius Emmanuel amewataka wananchi wa Wilaya hiyo kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la…
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Dalmia Mikaya jana September 26,2025 amepokea vifaa tiba viivyotolewa na benki ya NMB ikiwa ni sehemu ya benki hiyo kurudisha sehemu ya faida yake katika…
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma ya majisafi ndani ya eneo lake la kihuduma na kuendelea kupita mtaani kujiridhisha upatikanaji…
Kanisa Katoliki nchini limeweka marufuku kwa watawa wa kike na kiume na kiongozi yeyote wa Kanisa Katoliki kujihusisha na kampeni za siasa au kutambulishwa na chama chochote cha kisiasa kama…
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kila kinachoahidiwa kinatekelezwa na Serikali, ndio maana hivi sasa huduma za matibabu ya kibingwa zinapatikana ndani…