Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article RITA kutoa cheti cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tu

RITA kutoa cheti cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 14, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua mpango mpya wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wa utoaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya…

Continue ReadingRITA kutoa cheti cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tu
Read more about the article Aweso aridhishwa wingi wa maji Ruvu Juu, aipa DAWASA jukumu

Aweso aridhishwa wingi wa maji Ruvu Juu, aipa DAWASA jukumu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa maji Mhe.Jumaa Aweso (Mb), amekagua na kujiridhisha na wingi wa Maji yanayoingia katika Mtambo wa Maji Maji Ruvu Juu uliopo Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani  ikiwa ni ishara ya…

Continue ReadingAweso aridhishwa wingi wa maji Ruvu Juu, aipa DAWASA jukumu
Read more about the article Miaka 64 ya uhuru, Watanzania wamechagua amani

Miaka 64 ya uhuru, Watanzania wamechagua amani

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Maadhimisho ya miaka 64 ya uhuru yamefanyika kipekee, yameadhimishwa kwa namna yake, si tu yameacha funzo, bali yameonyesha jinsi Watanzania wanavyothamini  tunu muhimu za amani, umoja na mshikamano. Ukimya na utulivu…

Continue ReadingMiaka 64 ya uhuru, Watanzania wamechagua amani
Read more about the article Tanzania na Marekani kudumisha ushirikiano wa kiuchumi

Tanzania na Marekani kudumisha ushirikiano wa kiuchumi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Serikali ya Tanzania na Marekani zimefikia hatua ya mwisho ya majadiliano, ili kutia saini na kuanza rasmi utekelezaji wa Mradi wa Gesi Asilia ya Kimiminika (LNG) wenye thamani ya Dola…

Continue ReadingTanzania na Marekani kudumisha ushirikiano wa kiuchumi
Read more about the article  Aweso aweka kambi Dar kupambana na changamoto ya upungufu wa maji

 Aweso aweka kambi Dar kupambana na changamoto ya upungufu wa maji

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amefanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Dar es salaam na Pwani kwa kutembelea matanki makubwa ya uhifadhi Maji, mtambo wa uzalishaji maji wa Ruvu…

Continue Reading Aweso aweka kambi Dar kupambana na changamoto ya upungufu wa maji
Read more about the article RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima wanaotumia maji ya Mto Ruvu kwa shughuli za kilimo kusitisha matumizi hayo kwa muda hadi pale mvua zitakapoanza kunyesha…

Continue ReadingRC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda
Read more about the article Utekelezaji  mradi wa ‘BOLD’ wavutia wadau sekta kilimo

Utekelezaji  mradi wa ‘BOLD’ wavutia wadau sekta kilimo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Arusha Wadau mbalimbali wa maendeleo katika sekta ya kilimo hapa nchini wameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ‘Biodiversity for Opportunities, Livelihoods and Development’ (BOLD), unaolenga kuinua sekta…

Continue ReadingUtekelezaji  mradi wa ‘BOLD’ wavutia wadau sekta kilimo
Read more about the article Rais Samia: Vurugu zililenga kuipindua nchi

Rais Samia: Vurugu zililenga kuipindua nchi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan amesema vurugu za Oktoba 29, zilipangwa, kugharimiwa na kuratibiwa na watu kutoka nje wakishirikiana na wa ndani, kwa lengo la kupindua nchi. “Lile lilikuwa ni jambo…

Continue ReadingRais Samia: Vurugu zililenga kuipindua nchi
Read more about the article NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini

NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 2, 2025
  • Post category:Uncategorized

Na Mwandishi Maalum Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutoa matibabu ya…

Continue ReadingNMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
Read more about the article Dkt Samia: Poleni wafiwa, jeraha litatibiwa na sisi Watanzania

Dkt Samia: Poleni wafiwa, jeraha litatibiwa na sisi Watanzania

  • Post author:Gabriel
  • Post published:December 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia zilizoondokewa na ndugu, jamaa na marafiki katika vurugu zilizotokea Oktoba 29,2025, akisema ni msiba wa…

Continue ReadingDkt Samia: Poleni wafiwa, jeraha litatibiwa na sisi Watanzania
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu