RITA kutoa cheti cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tu
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua mpango mpya wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wa utoaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya…
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua mpango mpya wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wa utoaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya…
Waziri wa maji Mhe.Jumaa Aweso (Mb), amekagua na kujiridhisha na wingi wa Maji yanayoingia katika Mtambo wa Maji Maji Ruvu Juu uliopo Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani ikiwa ni ishara ya…
Maadhimisho ya miaka 64 ya uhuru yamefanyika kipekee, yameadhimishwa kwa namna yake, si tu yameacha funzo, bali yameonyesha jinsi Watanzania wanavyothamini tunu muhimu za amani, umoja na mshikamano. Ukimya na utulivu…
Serikali ya Tanzania na Marekani zimefikia hatua ya mwisho ya majadiliano, ili kutia saini na kuanza rasmi utekelezaji wa Mradi wa Gesi Asilia ya Kimiminika (LNG) wenye thamani ya Dola…
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amefanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Dar es salaam na Pwani kwa kutembelea matanki makubwa ya uhifadhi Maji, mtambo wa uzalishaji maji wa Ruvu…
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima wanaotumia maji ya Mto Ruvu kwa shughuli za kilimo kusitisha matumizi hayo kwa muda hadi pale mvua zitakapoanza kunyesha…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Wadau mbalimbali wa maendeleo katika sekta ya kilimo hapa nchini wameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ‘Biodiversity for Opportunities, Livelihoods and Development’ (BOLD), unaolenga kuinua sekta…
Rais Samia Suluhu Hassan amesema vurugu za Oktoba 29, zilipangwa, kugharimiwa na kuratibiwa na watu kutoka nje wakishirikiana na wa ndani, kwa lengo la kupindua nchi. “Lile lilikuwa ni jambo…
Na Mwandishi Maalum Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutoa matibabu ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia zilizoondokewa na ndugu, jamaa na marafiki katika vurugu zilizotokea Oktoba 29,2025, akisema ni msiba wa…