Mkurugenzi DAWASA mtaa kwa mtaa kukagua huduma ya maji
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire amefanya ziara ya kikazi kukagua hali ya upatikanaji wa maji katika Wilaya…
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire amefanya ziara ya kikazi kukagua hali ya upatikanaji wa maji katika Wilaya…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema atahakikisha amani na utulivu vinatawala katika msimu wote wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Katika kauli yake hiyo,…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Sekta ya madini nchini inaendelea kushuhudia mageuzi ya kuongeza thamani madini yakiwemo ya ujenzi kama mchanga na kufungua fursa nyingine mpya kwa wachimbaji wadogo wa mchanga…
Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu nchi mbalimbali duniani Mtanzania Askofu Mkuu Novatus Rugambwa amefariki dunia usiku wa Septemba 16, 2025 huko Roma nchini Italia. Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa alizaliwa…
"Kwanza kabisa, tunapenda kumshukuru Mama yetu, Rais Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake kubwa za kuhakikisha vijana wa Kitanzania tunapata ajira nje ya nchi zinazostahiki. “Kupitia nafasi hizi, sisi vijana…
Masista wanne wa Shirika la Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Teresia wa Mtoto Yesu, wamefariki dunia baada ya gari lao kugongana uso kwa uso na lori mkoani Mwanza. Waliofariki ni pamoja…
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameshuhudia tukio la ushushaji kwenye maji Kivuko cha MV Bukondo kilichogharimu bilioni 4.7 katika karakana ya Songoro Marine wilayani Ilemela ambayo inatarajiwa kwenda…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mpango wa Serikali itakayoongozwa naye katika miaka mitano ijayo, ni kuufanya Mkoa wa Kigoma kuwa wa kimkakati. Kutokana…
Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake itakamilisha ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) mkoani Kigoma, ikipitia Wilaya ya Uvinza. Amesema reli hiyo…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaambia wananchi wa Tabora kuwa atajenga barabara ya mzunguko yenye urefu wa kilomita 82 ili kupunguza msongamano mkoani humo. Ameeleza…