Simba SC. yaitafuna kibabe Gor Mahia
Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam,…
Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam,…
Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally amemtaja Mgombea urais wa chama hicho, Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa kiongozi mwenye utulivu, ujasiri na umakini wa pekee.…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na Wataalam kutoka Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) ili kujadili hali ya utekelezaji wa miradi ya Nishati inayofadhiliwa na shirika…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Mradi wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa ni sehemu ya uendelezaji…
Kama ulidhani Machinga Complex ni stahiki ya Dar es Salaam pekee, jengo kama hilo litakuwepo pia katika Mkoa wa Iringa kama ilivyoahidiwa na Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),…
Hatua ya Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo na mbolea, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema imeifanya Tanzania kushika nafasi ya pili kwa uzalishaji wa mahindi Afrika. Kwa mujibu wa Dkt…
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Albert Msando amefanya ziara katika mtambo wa uzalishaji maji Ruvu Juu kwa lengo la kuona na kujiridhisha hali ya uzalishaji wa maji katika…
Mgombea wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amewataka wanachama wa chama hicho mkoani Iringa, wavunje makundi yaliyosababishwa na michakato ya uteuzi wa ndani, ili kwenda…
IMEELEZWA kuwa Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeokoa zaidi ya Sh. bilioni 172 ambazo awali zilitumika kupeleka wagonjwa wa moyo nje ya nchi. Kauli…
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango wa kuzinyanga’nya mashamba ya Kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania (METL) na Watco ili kuyagawa kwa vyama vya…