Dkt. Samia: Waliotaka kuvuruga amani washindwe na walegee
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema tuzo ilizotunukiwa Tanzania ikiwemo ya kuwa kituo bora cha utalii duniani ni uthibitisho wa sifa nzuri ilizonazo, huku akisema waliotaka kuivuruga amani ili kuichafua nchi,…
