Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Wakandarasi miradi ya umeme watakiwa kuongeza kasi ya huduma

Wakandarasi miradi ya umeme watakiwa kuongeza kasi ya huduma

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 31, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Tanga Wakandarasi wote waliopewa zabuni ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA, wametakiwa kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa ubora uliopangwa ili…

Continue ReadingWakandarasi miradi ya umeme watakiwa kuongeza kasi ya huduma
Read more about the article  Samia: Nitanunua matrekta 10,000 kuboresha kilimo

 Samia: Nitanunua matrekta 10,000 kuboresha kilimo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 31, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema atakapochaguliwa kuingoza Tanzania kwa miaka mitano ijayo, Serikali yake itanunua matrekta 10,000 ili kuboresha shughuli za kilimo. Dkt…

Continue Reading Samia: Nitanunua matrekta 10,000 kuboresha kilimo
Read more about the article Dkt Samia: ‘CCM tukiahidi tunatekeleza’

Dkt Samia: ‘CCM tukiahidi tunatekeleza’

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 30, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu zikifikia siku ya tatu, Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema chama chake hakina…

Continue ReadingDkt Samia: ‘CCM tukiahidi tunatekeleza’
Read more about the article Samia kukomesha migogoro wakulima, wafugaji Kilosa

Samia kukomesha migogoro wakulima, wafugaji Kilosa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 30, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mgombea wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema atakapochaguliwa kuiongoza Tanzania kwa miaka mitano ijayo, atahakikisha programu ya Tutunzane inatekelezwa hadi wilayani Kilosa mkoani Morogoro.…

Continue ReadingSamia kukomesha migogoro wakulima, wafugaji Kilosa
Read more about the article Waziri Mkuu: Rais Samia ameiheshimisha Tanzania matumizi nishati safi ya kupikia

Waziri Mkuu: Rais Samia ameiheshimisha Tanzania matumizi nishati safi ya kupikia

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 30, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ameeleza kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipa heshima nchi kwa kuhamasisha matumizi ya…

Continue ReadingWaziri Mkuu: Rais Samia ameiheshimisha Tanzania matumizi nishati safi ya kupikia
Read more about the article Bilioni 32.7 yawezesha vijiji 519 kupata umeme Kilimanjaro

Bilioni 32.7 yawezesha vijiji 519 kupata umeme Kilimanjaro

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, ameeleza kuwa jumla ya vitongoji 1,997 sawa na asilimia 88.4 kati ya vitongoji…

Continue ReadingBilioni 32.7 yawezesha vijiji 519 kupata umeme Kilimanjaro
Read more about the article NMB yakabidhi bilioni 1.9 kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu Dodoma

NMB yakabidhi bilioni 1.9 kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu Dodoma

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Benki ya NMB imekabidhi hundi ya zaidi ya shilingi bilioni 1.9 kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule kwa ajili ya mikopo ya vikundi vya…

Continue ReadingNMB yakabidhi bilioni 1.9 kwa vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu Dodoma
Read more about the article Samia: Nitajenga barabara Ubena- Bigwa, Kisaki- Ngerengere

Samia: Nitajenga barabara Ubena- Bigwa, Kisaki- Ngerengere

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mgombea Urais wa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wananchi wa Morogoro kuwa barabara za Bigwa, Mvua - Kisaki zitakwenda kujengwa kwa kiwango cha…

Continue ReadingSamia: Nitajenga barabara Ubena- Bigwa, Kisaki- Ngerengere
Read more about the article Rais Samia: Mchakato Katiba Mpya kuanza ndani ya siku 100

Rais Samia: Mchakato Katiba Mpya kuanza ndani ya siku 100

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 28, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya ndani ya siku 100 pindi Watanzania watakapompa ridhaa Oktoba…

Continue ReadingRais Samia: Mchakato Katiba Mpya kuanza ndani ya siku 100
Read more about the article Rais Samia wa kwanza kurudisha fomu INEC

Rais Samia wa kwanza kurudisha fomu INEC

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amewatangulia wagombea urais wa vyama vingine kurudisha fomu ya uteuzi katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ndejengwa jijini Dodoma leo, Jumatano…

Continue ReadingRais Samia wa kwanza kurudisha fomu INEC
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu