Wakandarasi miradi ya umeme watakiwa kuongeza kasi ya huduma
Na Mwandishi Wetu, Tanga Wakandarasi wote waliopewa zabuni ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA, wametakiwa kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa ubora uliopangwa ili…
