NMB yakabidhi vifaa tiba vya Milioni 15 Makole Dodoma
Benki ya NMB imekabidhi vifaa tiba na mahitaji mbalimbali vyenye thamani ya sh milioni 15 kwa Kituo cha Afya Makole jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika kuimarisha…
Benki ya NMB imekabidhi vifaa tiba na mahitaji mbalimbali vyenye thamani ya sh milioni 15 kwa Kituo cha Afya Makole jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika kuimarisha…
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini Ndugu Ado Shaibu Ado leo ameshiriki misa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la…
Serikali ya Tanzania na Marekani zimekubaliana kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia, ikiwa ni mwendelezo wa ushirikiano wa muda mrefu baina ya mataifa hayo. Hatua hiyo, imefikiwa wakati wa ziara ya Waziri…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema Tanzania imeendelea kuwa kielelezo cha amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na duniani, akisisitiza kuwa dunia inalitazama Taifa hilo kama…
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Abert Msando ametembelea na kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo huku akitoa maelekezo kufufuliwa kwa visima vinne katika…
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua mpango mpya wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wa utoaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya…
Waziri wa maji Mhe.Jumaa Aweso (Mb), amekagua na kujiridhisha na wingi wa Maji yanayoingia katika Mtambo wa Maji Maji Ruvu Juu uliopo Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani ikiwa ni ishara ya…
Maadhimisho ya miaka 64 ya uhuru yamefanyika kipekee, yameadhimishwa kwa namna yake, si tu yameacha funzo, bali yameonyesha jinsi Watanzania wanavyothamini tunu muhimu za amani, umoja na mshikamano. Ukimya na utulivu…
Serikali ya Tanzania na Marekani zimefikia hatua ya mwisho ya majadiliano, ili kutia saini na kuanza rasmi utekelezaji wa Mradi wa Gesi Asilia ya Kimiminika (LNG) wenye thamani ya Dola…
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amefanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Dar es salaam na Pwani kwa kutembelea matanki makubwa ya uhifadhi Maji, mtambo wa uzalishaji maji wa Ruvu…