Samia alivyojipanga kujenga, kuboresha barabara Kilimanjaro
Baada ya hatua kubwa zilizopigwa katika sekta za afya, umeme, afya na elimu mkoani Kilimanjaro, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kuhamishia nguvu katika…
