Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article  Samia kuzindua usafirishaji wa mizigo kwa SGR na Bandari ya Kwala

 Samia kuzindua usafirishaji wa mizigo kwa SGR na Bandari ya Kwala

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 30, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Pwani Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua kuanza kwa huduma ya usafirishaji wa mzigo kwa njia ya SGR katika bandari Kavu ya Kwala, Kibaha mkoani Pwani pia…

Continue Reading Samia kuzindua usafirishaji wa mizigo kwa SGR na Bandari ya Kwala
Read more about the article CCM yamaliza pambano la Gambo, Makonda Arusha Mjini

CCM yamaliza pambano la Gambo, Makonda Arusha Mjini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imepitisha rasmi majina ya wagombea wa nafasi za ubunge katika jimbo la Arusha mjini kwa ajili ya kwenda kupigiwa…

Continue ReadingCCM yamaliza pambano la Gambo, Makonda Arusha Mjini
Read more about the article TPA yasaini makubaliano na wadau uendeshaji bandari Kavu Kwala

TPA yasaini makubaliano na wadau uendeshaji bandari Kavu Kwala

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 29, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali pamoja na sekta binafsi zinazotoa huduma katika Bandari ya Dar…

Continue ReadingTPA yasaini makubaliano na wadau uendeshaji bandari Kavu Kwala
Read more about the article Trump ampa Putin siku 12 kusitisha vita

Trump ampa Putin siku 12 kusitisha vita

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Donald Trump wa Marekani amempa Rais Vladimir Putin wa Urusi siku 10-12 za kusimamisha mauaji nchini Ukraine, zikiwa ni pungufu kutoka siku 50 alizozitoa kwa kiongozi huyo wa Urusi…

Continue ReadingTrump ampa Putin siku 12 kusitisha vita
Read more about the article Rais matatani kwa ufisadi, kufungwa miaka 12

Rais matatani kwa ufisadi, kufungwa miaka 12

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais wa zamani wa Colombia, Alvaro Uribe, ametiwa hatiani kwa kuwarubuni mashahidi kwenye kesi ya aina yake ya ufisadi dhidi yake. Hukumu hiyo ilitangazwa jana Jumatatu mjini Bogota kufutia kesi…

Continue ReadingRais matatani kwa ufisadi, kufungwa miaka 12
Read more about the article CHAN2024 itakavyowanufaisha watanzania kibiashara

CHAN2024 itakavyowanufaisha watanzania kibiashara

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 29, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Agosti 2, 2025 Tanzania itaingia kwenye rekodi ya kuwa moja kati ya nchi zilizowahi kuwa wenyeji wa fainali za Michuano ya Mataifa ya Afrika…

Continue ReadingCHAN2024 itakavyowanufaisha watanzania kibiashara
Read more about the article Tanzania yavuna bilioni 60 ujenzi bomba la mafuta unaogharimu trilioni 14.3

Tanzania yavuna bilioni 60 ujenzi bomba la mafuta unaogharimu trilioni 14.3

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 29, 2025
  • Post category:Usafiri wa Majini

Na Mwandishi Wetu, Tabora Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Sekta ya Mafuta na Gesi Wizara ya Nishati, Dkt James Mataragio, amesema utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika…

Continue ReadingTanzania yavuna bilioni 60 ujenzi bomba la mafuta unaogharimu trilioni 14.3
Read more about the article Faida tano marekebisho ya Katiba ya CCM

Faida tano marekebisho ya Katiba ya CCM

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 28, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Katika hali ya kisiasa inayobadilika kila uchao, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuonyesha uhai na uwezo wa kujiimarisha kwa kufanya marekebisho yenye tija kwenye Katiba yake.  Miongoni mwa marekebisho yaliyozua…

Continue ReadingFaida tano marekebisho ya Katiba ya CCM
Read more about the article NMB yamwaga mamilioni maonyesho ya kitaifa NaneNane

NMB yamwaga mamilioni maonyesho ya kitaifa NaneNane

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 28, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mwandishi Wetu, Dodoma BENKI ya NMB imekabidhi Sh milioni 100 kwa Wizara ya Kilimo ili kusaidia kwenye maandalizi ya maonyesho wakulima, wafugaji na wavuvi maarufu kama nanenane. Kiasi hicho ni…

Continue ReadingNMB yamwaga mamilioni maonyesho ya kitaifa NaneNane
Read more about the article Rais Samia aweka rekodi mpya CCM

Rais Samia aweka rekodi mpya CCM

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Katika historia ya siasa za Tanzania, Julai 26, 2025 inabaki kuwa siku ya kipekee. Siku ambayo Chama cha Mapinduzi (CCM) kiliandika ukurasa mpya wa mageuzi kwa kufanya Mkutano Mkuu wa…

Continue ReadingRais Samia aweka rekodi mpya CCM
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu