Samia: Nichagueni nikamalizie kazi
Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt Samia Suluhu Hassan amewaomba Watanzania na wananchi wa mkoa wa Ruvuma kumchagua ili akakamilishe kazi za utekelezaji…
Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt Samia Suluhu Hassan amewaomba Watanzania na wananchi wa mkoa wa Ruvuma kumchagua ili akakamilishe kazi za utekelezaji…
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, imetembelea mradi wa ujenzi wa bwawa la Kidunda, mkoani Morogoro huku ikisema wana nafasi ya kushauri na kusaidia mambo mbalimbali yakiwemo ya kimkataba. Mradi…
Na Mwandishi Wetu, Iringa Wafanyabiashara 40 wa Soko la Mashine Tatu, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, waliopoteza bidhaa na mali zao kufuatia ajali ya moto, wamekabidhiwa hundi ya Shilingi milioni…
Benki ya NMB imefanya kongamano maalum na wafanyabiashara wa mkoa wa Tabora, likilenga kujadili fursa za kifedha na huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo. Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara…
Na Mwandishi Wetu, Vienna Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Tanzania kiasi cha Euro Milioni 20 sawa na takribani Shilingi bilioni 60 kwa ajili…
MKUU wa Wilaya ya Magu, Jubilate Lawuo amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuendelea kudumisha amani na utulivu hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka…
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire amefanya ziara ya kikazi kukagua hali ya upatikanaji wa maji katika Wilaya…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema atahakikisha amani na utulivu vinatawala katika msimu wote wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Katika kauli yake hiyo,…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Sekta ya madini nchini inaendelea kushuhudia mageuzi ya kuongeza thamani madini yakiwemo ya ujenzi kama mchanga na kufungua fursa nyingine mpya kwa wachimbaji wadogo wa mchanga…
Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu nchi mbalimbali duniani Mtanzania Askofu Mkuu Novatus Rugambwa amefariki dunia usiku wa Septemba 16, 2025 huko Roma nchini Italia. Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa alizaliwa…