Rais Samia: Baadhi ya waliokamatwa kuivuruga amani wanatoka nje ya Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kati ya waliokamatwa kuhusika katika matukio la uvunjifu wa amani na uharibifu wa miundombinu nchini, wapo wanaotoka nje ya Tanzania. Amesema kilichotokea hakiendani na taswira…
