Vijana Magu watakiwa kuchangamkia fursa za mikopo inayotolewa na halmashauri
Vijana katika Wilaya ya Magu wameaswa kutumia kikamilifu fursa za mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri ili kujikwamua kiuchumi. Rai hiyo imetolewa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Magu,…
