NMB yatua kwa kishindo maonesho Sabasaba, yaita wananchi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imeanza rasmi kutoa huduma zake katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba, yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imeanza rasmi kutoa huduma zake katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba, yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bukombe amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea Ubunge katika Jimbo la Bukombe. Dkt.…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kutokana na changamoto ya ajira inayowakumba vijana nchini, Kampuni ya Norland, inayojihusisha na utafiti, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa tiba za afya, imejipanga kutengeneza…
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hadi mwezi Mei, 2025, deni la Serikali lilifikia Sh107.7 trilioni, kati ya hilo la nje ni Sh72.94 trilioni na ndani ni Sh34.76 trilioni. Kwa mujibu…
Rais Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi kuendelea na jitihada kukomesha matukio ya uhalifu ikiwemo watu kupotea yanayoripotiwa sehemu mbalimbali nchini. Amesema kuwa Serikali itaendelea kuliimarisha Jeshi la Polisi…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanza kutekeleza ujenzi wa barabara Km 42 kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza safari za treni kati ya tarehe 27 Juni, 2025 na 28 Juni, 2025 kutoka Dodoma kwenda Dar…
RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza Yanga Sc. kwa kufanikiwa kutetea taji lake la Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara ya nne mfululizo baada ya kuishindilia Simba SC. goli 2-0. Yanga imefanikiwa…
Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kwa sababu ya mapigano kati ya nchi hiyo na Iran watarejea nchini leo tarehe 25 Juni 2025, kwa Ndege ya Shirika la Ndege la…
Jeshi la Rwanda limesema kuwa madai ya kwamba afya ya Rais Paul Kagame iko hatarini sana ni habari za hongo. Kauli hiyo imekuja kutokana na taarifa mbalimbali kuibuka kuhusu afya…