Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article NMB yatua kwa kishindo maonesho Sabasaba, yaita wananchi

NMB yatua kwa kishindo maonesho Sabasaba, yaita wananchi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imeanza rasmi kutoa huduma zake katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba, yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu…

Continue ReadingNMB yatua kwa kishindo maonesho Sabasaba, yaita wananchi
Read more about the article Biteko aomba ridhaa kutetea jimbo la Bukombe

Biteko aomba ridhaa kutetea jimbo la Bukombe

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bukombe amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea Ubunge katika Jimbo la Bukombe. Dkt.…

Continue ReadingBiteko aomba ridhaa kutetea jimbo la Bukombe
Read more about the article Norland yajipanga kutengeneza ajira kwa vijana 

Norland yajipanga kutengeneza ajira kwa vijana 

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 29, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kutokana na changamoto ya ajira inayowakumba vijana nchini, Kampuni ya Norland, inayojihusisha na utafiti, uzalishaji na usambazaji wa bidhaa tiba za afya, imejipanga kutengeneza…

Continue ReadingNorland yajipanga kutengeneza ajira kwa vijana 
Read more about the article Samia ataja sababu deni la Taifa kuongezeka

Samia ataja sababu deni la Taifa kuongezeka

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan amesema hadi mwezi Mei, 2025, deni la Serikali lilifikia Sh107.7 trilioni, kati ya hilo la nje ni Sh72.94 trilioni na ndani ni Sh34.76 trilioni. Kwa mujibu…

Continue ReadingSamia ataja sababu deni la Taifa kuongezeka
Read more about the article Samia aagiza polisi kukomesha matukio ya watu kupotea

Samia aagiza polisi kukomesha matukio ya watu kupotea

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Rais Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi kuendelea na jitihada kukomesha matukio ya uhalifu ikiwemo watu kupotea yanayoripotiwa sehemu mbalimbali nchini. Amesema kuwa Serikali itaendelea kuliimarisha Jeshi la Polisi…

Continue ReadingSamia aagiza polisi kukomesha matukio ya watu kupotea
Read more about the article TARURA Kigamboni yaanza ujenzi wa barabara za lami KM 42

TARURA Kigamboni yaanza ujenzi wa barabara za lami KM 42

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 27, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanza kutekeleza ujenzi wa barabara Km 42 kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji…

Continue ReadingTARURA Kigamboni yaanza ujenzi wa barabara za lami KM 42
Read more about the article TRC yaongeza safari za treni Dodoma – Dar es salaam

TRC yaongeza safari za treni Dodoma – Dar es salaam

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 27, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kuongeza safari za treni kati ya tarehe 27 Juni, 2025 na 28 Juni, 2025 kutoka Dodoma kwenda Dar…

Continue ReadingTRC yaongeza safari za treni Dodoma – Dar es salaam
Read more about the article Samia aipongeza Yanga kwa kuibutua Simba

Samia aipongeza Yanga kwa kuibutua Simba

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 25, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

RAIS Samia Suluhu Hassan ameipongeza Yanga Sc. kwa kufanikiwa kutetea taji lake la Ligi Kuu Tanzania Bara  kwa mara ya nne mfululizo baada ya kuishindilia Simba SC. goli 2-0. Yanga imefanikiwa…

Continue ReadingSamia aipongeza Yanga kwa kuibutua Simba
Read more about the article Watanzania 42 waliokwa Israel kurejea nchini leo

Watanzania 42 waliokwa Israel kurejea nchini leo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 25, 2025
  • Post category:Usafiri wa Anga

Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kwa sababu ya mapigano kati ya nchi hiyo na Iran watarejea nchini leo tarehe 25 Juni 2025, kwa Ndege ya Shirika la Ndege la…

Continue ReadingWatanzania 42 waliokwa Israel kurejea nchini leo
Read more about the article Rwanda yakana Kagame kuwa mahututi
Rais wa Rwanda, Paul Kagame

Rwanda yakana Kagame kuwa mahututi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 25, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Jeshi la Rwanda limesema kuwa madai ya kwamba afya ya Rais Paul Kagame iko hatarini sana ni habari za hongo. Kauli hiyo imekuja kutokana na taarifa mbalimbali kuibuka kuhusu afya…

Continue ReadingRwanda yakana Kagame kuwa mahututi
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu