Samia asisitiza upatikanaji Katiba Mpya
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kushughulikia suala la upatikanaji wa Katiba Mpya, akisema ni takwa la makundi mbalimbali ya Watanzania. Dkt Samia amesema…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kushughulikia suala la upatikanaji wa Katiba Mpya, akisema ni takwa la makundi mbalimbali ya Watanzania. Dkt Samia amesema…
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameiagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kufuatilia hali ya upatikanaji wa huduma ya majisafi katika…
Mwandishi Wetu, Dodoma MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule ametaka jengo la Shule Jumuishi Bahi kukamilishwa kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa kama wadhamini wa ujenzi huo, Benki ya…
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete leo Jumatano ametembelea Banda la NMB kwenye Maadhimisho ya wiki ya Vijana katika viwanja vya…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Zaidi ya wakulima 62,000 wadogo wadogo nchini wamenufaika na mafunzo ya kilimo cha mbogamboga na matunda yaliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa…
Na Mwandishi Wetu, MBEYA BENKI ya NMB, imeikabidhi ofisi ya Mkoa wa Mbeya hundi ya Sh. Milioni 30 kwa ajili ya udhamini wa maadhimisho ya wiki ya vijana kitaifa na…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la wavuvi la kulitumia lililokuwa jengo la abiria katika eneo la Kigongo, mkoani Mwanza, kuwa soko la…
Na Mwandishi Wetu Benki ya NMB leo Junatatu imezindua rasmi maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja, huku ikiahidi kuboresha zaidi huduma zake na kusisitiza dhamira yake ya kuendelea kuwa…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ni muhimu wananchi wa Hanang, mkoani Manyara, wakaitumia stendi yam abasi iliyojengwa kujinufaisha kiuchumi. Dkt Samia ameeleza hayo,…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake ipo katika majadiliano na Taifa la India na wazalishaji wengine wa mbaazi, kuhakikisha bei ya zao…