Watu 700 kupatiwa matibabu ya macho Rungwe
Na Mwandishi Wetu, Mbeya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Dkt. Diocles Ngaiza amesema zaidi ya wagonjwa 700 watapatiwa matibabu ya macho katika kambi ya matibabu ya wagonjwa…
Na Mwandishi Wetu, Mbeya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Dkt. Diocles Ngaiza amesema zaidi ya wagonjwa 700 watapatiwa matibabu ya macho katika kambi ya matibabu ya wagonjwa…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa maoni yoyote yanayolenga kuhakikisha Tanzania inaendelea kudumisha amani na utulivu, hayajawahi kupuuzwa na hayatapuuzwa. Aidha, Balozi…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati ni moja kati ya Sekta tatu nchini ambazo zimechangia ukuaji wa pato la Taifa katika kipindi cha…
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea kuwezesha, kuhamasisha na kutoa elimu kuhusu umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa watumishi wa magereza na wananchi ili kufikia…
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka nchini leo Juni 24, 2025, kuelekea Maputo, Jamhuri ya Msumbiji kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Katika ziara hiyo, Rais Samia atakuwa mgeni…
Waendesha mashtaka wa Kenya wametangaza jana Jumatatu kufungua mashtaka dhidi ya watu sita, wakiwemo maafisa watatu wa polisi, kwa mauaji ya Albert Ojwang. Ojwang mwenye umri wa miaka 31, alifikwa…
Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), imepanga kutekeleza ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Mlandizi hadi Ruvu kwenye Stesheni ya SGR kwa awamu, ambapo mkataba wa ujenzi…
Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko makubwa ya uongozi serikalini kwa kuwahamisha na kuwateua viongozi mbalimbali wa mikoa, wilaya, wizara na taasisi za umma. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katika harakati za kuboresha afya ya Watanzania kwa kutumia njia mbadala zisizo na madhara, kampuni ya Norland imeendelea kuleta mapinduzi kupitia virutubisho vyake vya…
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka waganga wa tiba asili kuacha kupiga ramli chonganishi ili kuifanya Tanzania ivuke salama kwenye uchaguzi mkuu ujao wa Oktoba 2025. Amewataka waganga hao kula…