BOT yakana kuchapisha fedha za uchaguzi mkuu
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha uvumi wa taarifa zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa imechapisha na kusambaza fedha kwa ajili ya kugharamia uchaguzi mkuu. Katika taarifa kwa umma…
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekanusha uvumi wa taarifa zinazozunguka kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa imechapisha na kusambaza fedha kwa ajili ya kugharamia uchaguzi mkuu. Katika taarifa kwa umma…
Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambazwa na vyombo vya habari ikiwemo kukamatwa kwa watu saba katika mazingira ya kutatanisha tukio ambalo limetajwa kuwa ni ukandamizaji pamoja na taarifa…
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imetangaza kupandisha kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi kutoka Shilingi 275,060 hadi Shilingi 358,322, ikiwa ni…
Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimemteua Seneta wa Siaya, Dkt. Oburu Odinga, kuwa kaimu kiongozi wa chama kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga, aliyefariki dunia…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Kagera kupeleka boti tano zitakotumika kuimarisha usalama na kusafirisha wagonjwa. Pia, Samia amefafanua kuwa boti hizo zitatumika…
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na mwanachama wa ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina pamoja na ACT- Wazalendo kupinga kuondolewa kwenye orodha ya wagombea Urais…
Salamu za rambirambi zinatoka sehemu tofauti ya bara la Afrika baada ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Kenya Raila Odinga. Odinga ameaga dunia nchini India leo Jumatano, ambapo alikuwa…
Na Mwandishi Wetu, Pwani PROGRAMU Endelevu ya usambazaji wa Elimu ya Fedha, Huduma Jumuishi za Kibenki, Utunzaji Mazingira na Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa wananchi vijijini ‘NMB Kijiji…
Mwanasiasa maarufu wa Kenya, Raila Odinga, Waziri Mkuu wa zamani, amefariki dunia leo Jumatano, Oktoba 15, 2025, katika hospitali ya Sreedhareeyam Ayurvedic Eye Hospital & Research Centre, Koothattukulam, Kerala, India,…
Jeshi la Madagascar limechukua madaraka kutoka kwa serikali ya kiraia baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbia nchi, hatua iliyotangazwa na kamanda wa juu wa jeshi Kanali Michael Randrianirina mjini Antananarivo.…