Mabondia wa Tanzania watwaa makombe Comoro
Mabondia Kassim Mbundwike na Mwanjango wameshinda mapambano yao katika michuano ya maadhimisho ya miaka 50 ya Sherehe za Uhuru wa Umoja wa Visiwa vya Comoro iliyoshirikisha mabondia toka Madagascar,Gabon,Tanzania na…
