Dk. Tulia aongoza kupitishwa kwa azimio jipya la UN
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo terehe 25 Julai, 2025 ametangaza mafanikio makubwa katika…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo terehe 25 Julai, 2025 ametangaza mafanikio makubwa katika…
Na Mwandishi Wetu, Singida Imeelezwa kuwa kukamilika kwa daraja la Masagi linalojengwa katika barabara ya Kibirigi-Masagi kutasaidia kuunganisha vijiji vya Kibirigi, Masagi na Tyeme katika Kata ya Mtoa, Wilaya ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya donge nono ya fedha taslimu Shilingi Bilioni 1 iwapo timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars watafanikiwa…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Benki ya Equity kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanzisha mpango mahsusi wa kuimarisha sekta ya mifugo na ngozi nchini, kwa lengo la kuongeza…
Ndege ya abiria ya nchini Urusi iliyokuwa na watu takriban 50 imeanguka eneo la Amur, mashariki mwa nchi hiyo, huku watu wote waliokuwa ndani wakidhaniwa kupoteza maisha. Ndege hiyo aina…
Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Tanzania kuanza maandalizi ya kuwa mwenyeji wa shindano urembo duniani (Miss World) mwaka 2027. Uamuzi huo unatajwa kuwa utafungua mafanikio lukuki kwa nchini ikiwemo katika…
Chama cha Wanasheria Wanawake (TAWLA) kinatarajia kuwanoa wanawake zaidi ya 1000 wilayani Magu kuhusu masuala mbalimbali ya ukatili wa kijinsia na namna ya kujua haki zao katika umiliki wa ardhi…
Rais Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika hafla iliyofanyika jijini Dodoma, huku akieleza malengo makuu ya kuifikisha Tanzania kwenye uchumi wa kisasa, jumuishi na…
Ujumbe kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (OAG) ukiongozwa na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Samwel MManeno, umetembelea makao makuu ya Benki ya NMB na kufanya kikao na uongozi…
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Magu, Joshua Nassari amemkabidhi rasmi ofisi Mkuu mpya wa Wilaya, Jubilate Lawuo kufuatia uteuzi uliofanywa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…