Rais Samia ateua 6 kuwa wabunge
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mamlaka aliyonayo chini ya Ibara ya 66(1)(e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977,…
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mamlaka aliyonayo chini ya Ibara ya 66(1)(e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977,…
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), imempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuchaguliwa na kuapishwa kuiongoza Tanzania kwa kipindi cha pili, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.…
Rais wa China, Xi Jinping ametuma salamu za pongezi kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan baada ya kuibuka kidedea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Dkt. Samia alipata ushindi wa…
Rais wa Urusi, Vladmir Putin ametuma salamu za pongezi kwa Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan baada ya kuibuka mshindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025. Katika uchaguzi…
Wakazi mbalimbali wa Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani wameridhishwa na hali ya huduma ya maji katika maeneo yao inayozidi kuimarika na hawana hofu juu ya usalama…
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli kwa Tanzania Bara zitakazotumika kuanzia leo tarehe 5 Novemba 2025 ambapo…
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwapisha Hamza Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Johari ameapishwa leo Jumatano, Novemba 5, 20254, Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma na kuhudhuriwa na…
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) 2025 leo, Jumatano Novemba 5, 2025, ambapo ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na…
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Camillus Wambura, ametangaza rasmi kuondolewa kwa amri iliyokuwa imetolewa tarehe 29 Oktoba 2025 kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, kufuatia maelekezo…
Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amewaonya wanaoshabikia uvunjifu wa amani nchini, akisema vurugu huishia kupimana nguvu na uwezo wa kujihami, lakini mazungumzo huzaa mshikamano. Msingi wa onyo hilo la mkuu…