Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Majaliwa akoshwa NMB kutoa huduma ya kukatia bima ng’ombe 2000

Majaliwa akoshwa NMB kutoa huduma ya kukatia bima ng’ombe 2000

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Benki ya NMB imeanzisha huduma ya utoaji bima ya mazao na mifugo ikiwa ni sehemu ya mpango wake wa kusaidia kukuza sekta hizo nchini ambapo hadi…

Continue ReadingMajaliwa akoshwa NMB kutoa huduma ya kukatia bima ng’ombe 2000
Read more about the article NMB yakutana na wafanyabiashara wakubwa jijini Mwanza

NMB yakutana na wafanyabiashara wakubwa jijini Mwanza

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

NA Mwandishi Wetu, Mwanza Benki ya NMB imeendelea kuonesha dhamira ya dhati katika kuwa mshirika imara wa wafanyabiashara nchini, baada ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa 120 wa Mkoa wa Mwanza…

Continue ReadingNMB yakutana na wafanyabiashara wakubwa jijini Mwanza
Read more about the article PPAA yatoa elimu kwa wazabuni, umma maonesho Nanenane maonesho

PPAA yatoa elimu kwa wazabuni, umma maonesho Nanenane maonesho

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) inashiriki Maonesho ya NaneNane Kitaifa yanaendelea katika Viwanja vya Maonesho vya Nzuguni Jijini Dodoma kutoa elimu kuhusu ununuzi wa Umma kwa wazabuni,…

Continue ReadingPPAA yatoa elimu kwa wazabuni, umma maonesho Nanenane maonesho
Read more about the article Dk. Biteko aomba kura ya ndio kwa wajumbe Bukombe

Dk. Biteko aomba kura ya ndio kwa wajumbe Bukombe

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mbunge wa Jimbo la Bukombe anayemaliza muda wake, Dkt. Doto Mashaka Biteko ambaye ameomba tena ridhaa ya kutetea kiti hicho, ameeleza furaha na shukrani aliyonayo kwa Wananchi wa Bukombe kufuatia…

Continue ReadingDk. Biteko aomba kura ya ndio kwa wajumbe Bukombe
Read more about the article NMB yajidhatiti kusaidia wakulima, wafugaji na wavuvi kupitia maonesho ya Nane Nane

NMB yajidhatiti kusaidia wakulima, wafugaji na wavuvi kupitia maonesho ya Nane Nane

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 2, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mkuu wa Kitengo cha Biashara Serikalini kutoka Benki ya NMB, makao makuu, Vicky Bishubo, amesema wamepanga kutumia maonesho ya wakulima Nane nane kutoa elimu kwa wananchi kutambua fursa zinazotolewa na…

Continue ReadingNMB yajidhatiti kusaidia wakulima, wafugaji na wavuvi kupitia maonesho ya Nane Nane
Read more about the article EACLC kutoka stendi ya mabasi hadi kitovu cha uchumi

EACLC kutoka stendi ya mabasi hadi kitovu cha uchumi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 1, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Wakati Serikali ilipoamua kuhamisha Stendi ya Mabasi ya Ubungo kwenda Mbezi Luis mwaka 2020, wengi waliutafsiri uamuzi huo kama kukata mshipa wa uhai wa kiuchumi wa eneo la Ubungo. Hofu…

Continue ReadingEACLC kutoka stendi ya mabasi hadi kitovu cha uchumi
Read more about the article Bandari ya Kwala, kituo cha mapinduzi kiuchumi Tanzania

Bandari ya Kwala, kituo cha mapinduzi kiuchumi Tanzania

  • Post author:Gabriel
  • Post published:August 1, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Na Mwandishi Wetu, Pwani Bandari Kavu ya Kwala, iliyoko Wilaya ya Kibaha, mkoani Pwani, sasa imekuwa mkombozi wa msongamano katika Bandari ya Dar es Salaam. Kulingana na taarifa rasmi, Bandari…

Continue ReadingBandari ya Kwala, kituo cha mapinduzi kiuchumi Tanzania
Read more about the article Samia atoa siku 3 huduma zote za kibandari kutolewa Kwala – Kibaha

Samia atoa siku 3 huduma zote za kibandari kutolewa Kwala – Kibaha

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 31, 2025
  • Post category:Usafiri wa Nchi Kavu

Rais Samia Suluhu Hassan ameziagiza Wizara za Uchukuzi na Viwanda na Biashara kuanza kutoa huduma zote za kibandari katika Bandari Kavu ya Kwala ili kurahisisha shughuli za usafirishaji kuanzia tarehe…

Continue ReadingSamia atoa siku 3 huduma zote za kibandari kutolewa Kwala – Kibaha
Read more about the article Prof. Mwandosya shujaa wa matibabu ya saratani, ameishi nayo miaka 14

Prof. Mwandosya shujaa wa matibabu ya saratani, ameishi nayo miaka 14

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 30, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemuelezea  Prof. Mark Mwandosya kuwa ni shujaa wa Saratani ya Damu (Multiple Myeloma) ambaye…

Continue ReadingProf. Mwandosya shujaa wa matibabu ya saratani, ameishi nayo miaka 14
Read more about the article NMB yaipiga jeki BAMMATA kuelekea michezo ya majeshi Z’bar

NMB yaipiga jeki BAMMATA kuelekea michezo ya majeshi Z’bar

  • Post author:Gabriel
  • Post published:July 30, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Benki ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa vya michezo kwa Baraza la Michezo ya Majeshi Tanzania (BAMMATA) kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya majeshi inayotarajiwa kuanza Septemba 6 jijini…

Continue ReadingNMB yaipiga jeki BAMMATA kuelekea michezo ya majeshi Z’bar
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu