Dk. Homera aipongeza RITA kuwajengea uwezo wadhamini
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Juma Homera ameupongeza mpango wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kuendelea kuwajengea uwezo wajumbe wa Bodi za…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Juma Homera ameupongeza mpango wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa kuendelea kuwajengea uwezo wajumbe wa Bodi za…
Mkurugenzi wa MashtakaTanzania (DPP), amewafutia kesi na kuwaachia huru washtakiwa 210 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kula njama na kutenda kosa la uhaini. Washtakiwa hao wameachiwa leo Novemba 24, 2025…
Tanzania imeshinda kiti cha Ujumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia ya Unesco (World Heritage Committee) katika uchaguzi uliofanyika Novemba 24,2025 jijini Paris, Ufaransa. Kamati ya Urithi wa Dunia ni…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameagiza fedha za sherehe zilizopangwa kuadhimisha Desemba 9, 2025 zitumike kukarabati na kuboresha miundombinu iliyoharibiwa na vurugu za Oktoba…
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART) na wadau wote wanaohusika wakae na kutengeneza utaratibu wa mpito ili kurejesha huduma za usafiri huo ndani ya…
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika kuzingatia miiko, masharti na sheria za uendeshwaji wake. Sambamba…
Kampuni ya usafiri wa mtandaoni, Bolt Tanzania, imezindua rasmi huduma zake katika mji wa Moshi mkoani Kilimanjaro, hatua inayoonekana kama mafanikio makubwa katika juhudi za kuleta suluhisho la usafiri wa…
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ana imani na matumaini makubwa na Tume aliyoiunda ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani ya Oktoba 29, mwaka huu na kwamba itatenda haki. “Jana…
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ameunda Tume ya ndani Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani, ili zitakapoletwa zile za kimataifa zikutane na iliyopo na kupeana taarifa. Rais Dkt Samia…
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka ameutaja wasifu wa Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Uvunjifu wa Amani, Jaji mstaafu Mohamed Chande Othman kuwa mzoefu katika tasnia ya sheria. Sio tasnia…