RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima wanaotumia maji ya Mto Ruvu kwa shughuli za kilimo kusitisha matumizi hayo kwa muda hadi pale mvua zitakapoanza kunyesha…
