Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Norway yaipongeza WorldVeg kwa utafiti, uhifadhi wa mbegu za asili Afrika

Norway yaipongeza WorldVeg kwa utafiti, uhifadhi wa mbegu za asili Afrika

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 28, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu , Arusha Serikali ya Norway imeipongeza Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti na Uendelezaji wa Kilimo cha Mbogamboga – World Vegetable Centre (WorldVeg), Kanda ya Mashariki na Kusini…

Continue ReadingNorway yaipongeza WorldVeg kwa utafiti, uhifadhi wa mbegu za asili Afrika
Read more about the article DC Kiteto awataka wananchi kuchangamkia fursa za EACOP

DC Kiteto awataka wananchi kuchangamkia fursa za EACOP

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 28, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Manyara Mkuu wa Wilaya ya Kitete Bw Remidius Emmanuel amewataka wananchi wa Wilaya hiyo kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la…

Continue ReadingDC Kiteto awataka wananchi kuchangamkia fursa za EACOP
Read more about the article DC Kigamboni apokea vifaa tiba kutoka Benki ya NMB

DC Kigamboni apokea vifaa tiba kutoka Benki ya NMB

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 27, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Dalmia Mikaya jana September 26,2025 amepokea vifaa tiba viivyotolewa na benki ya NMB ikiwa ni sehemu ya benki hiyo kurudisha sehemu ya faida yake katika…

Continue ReadingDC Kigamboni apokea vifaa tiba kutoka Benki ya NMB
Read more about the article Huduma ya maji Dar na Pwani imeimarika

Huduma ya maji Dar na Pwani imeimarika

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 26, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma ya majisafi ndani ya eneo lake la kihuduma na kuendelea kupita mtaani kujiridhisha upatikanaji…

Continue ReadingHuduma ya maji Dar na Pwani imeimarika
Read more about the article Kanisa Katoliki lapiga marufuku watawa kujihusisha na kampeni za siasa
Askofu wa Jimbo Katoliki la Lindi, Mhashamu Wolfgang Pisa

Kanisa Katoliki lapiga marufuku watawa kujihusisha na kampeni za siasa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 25, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Kanisa Katoliki nchini limeweka marufuku kwa watawa wa kike na kiume na kiongozi yeyote wa Kanisa Katoliki kujihusisha na kampeni za siasa au kutambulishwa na chama chochote cha kisiasa kama…

Continue ReadingKanisa Katoliki lapiga marufuku watawa kujihusisha na kampeni za siasa
Read more about the article Samia: Hatusemi kutoka ndotoni, tukisema tunatekeleza

Samia: Hatusemi kutoka ndotoni, tukisema tunatekeleza

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 25, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt.  Samia Suluhu Hassan amesema kila kinachoahidiwa kinatekelezwa na Serikali, ndio maana hivi sasa huduma za matibabu ya kibingwa zinapatikana ndani…

Continue ReadingSamia: Hatusemi kutoka ndotoni, tukisema tunatekeleza
Read more about the article Banda la DAWASA lawavutia wengi Siku ya Wahandisi

Banda la DAWASA lawavutia wengi Siku ya Wahandisi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 25, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Wananchi mbalimbali wamejitokeza kwenye banda la maonyesho la Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika maadhimisho ya siku ya Wahandisi Kitaifa yanayoendelea ukumbi wa Mlimani…

Continue ReadingBanda la DAWASA lawavutia wengi Siku ya Wahandisi
Read more about the article REA kivutio kikubwa uuzaji wa majiko banifu kwa bei ya ruzuku

REA kivutio kikubwa uuzaji wa majiko banifu kwa bei ya ruzuku

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 25, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Geita Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kuuza majiko banifu kwa bei ya ruzuku katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja…

Continue ReadingREA kivutio kikubwa uuzaji wa majiko banifu kwa bei ya ruzuku
Read more about the article Sababu Pamba FC kufanya mazoezi gizani zatajwa

Sababu Pamba FC kufanya mazoezi gizani zatajwa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 24, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Kufuatia taarifa inayosambaa mitandaoni ikionesha wachezaji wa timu ya Pamba Jiji FC wakifanya mazoezi gizani katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na…

Continue ReadingSababu Pamba FC kufanya mazoezi gizani zatajwa
Read more about the article Samia: Hivi ndivyo, utu wa mtu unavyotunzwa, kuimarishwa

Samia: Hivi ndivyo, utu wa mtu unavyotunzwa, kuimarishwa

  • Post author:Gabriel
  • Post published:September 23, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan ameeleza namna pembejeo na mbolea za ruzuku zilivyowezesha kuongeza uzalishaji wa mazao ya ufuta, korosho na karanga wilayani Nanyumbu…

Continue ReadingSamia: Hivi ndivyo, utu wa mtu unavyotunzwa, kuimarishwa
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu