Maswi aitaka RITA kuwekeza kidijitali kuwafikia Watanzania wengi
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim Maswi, ameutaka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kuendelea kuwekeza zaidi katika mifumo ya kisasa…
