Trump azuia mpango wa Israel kumuua kiongozi mkuu Iran
Rais wa Marekani, Donald Trump amepinga mpango wa Israel wa kumuua kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Ofisa mkuu wa Marekani ameliambia shirika la habari la AFP kuwa "Tuligundua…
Rais wa Marekani, Donald Trump amepinga mpango wa Israel wa kumuua kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Ofisa mkuu wa Marekani ameliambia shirika la habari la AFP kuwa "Tuligundua…
Na Mwandishi Wetu, Pwani SERIKALI imesisitiza kuwa imejipanga kuhakikisha kuwa wafugaji nchini wanakuwa na uwezo wa kufanya ufugaji wa kisasa wenye tija zaidi na kuachana na mbinu duni kwa kushirikiana…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu kutoka Wizara ya Nishati, Mhandisi Innocent Luoga, tarehe 12 Juni 2025, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi…
Msimu mashuhuri wa utalii nchini umeanza kwa kasi na baada ya nyota wa zamani wa Man United na AC Milan @iamzlatanibrahimovic (wafuasi milioni 63 IG pekee) kutua nchini kutalii nyota…
Kamishina wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amezindua kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ya umeme inayokwenda na kaulimbiu ya PIKA SMART. Mha.…
Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Masaju anachukua nafasi ya Prof. Ibrahim Hamis Juma, ambaye amestaafu…
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali ya shilingi trilioni 56.49 kwa mwaka 2025/26. “Makadirio ya matumizi ya Serikali ya shilingi trilioni 56.49…
Zaidi ya watu 200 wamefariki baada ya ndege ya Air India iliyokuwa ikielekea London, ikiwa na abiria 242, kuanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka mji wa Ahmedabad magharibi mwa…
Katika kuhakikisha elimu ya nishati safi ya kupikia inamfikia kila mtanzania, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange ametumia sehemu ya ziara yake ya kukagua maendeleo ya miradi ya umeme…
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM OFISI ya Msajili wa Hazina, imeipongeza Benki ya NMB kwa kukabidhi gawio la Sh. Bilioni 68.1 kwa Mfuko Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya…