Shule 53 Magu zagawiwa zana za kufundisha wanafunzi wa awali
ILI kuendana na mabadiliko ya mitaala ya elimu ya msingi na awali, Halmashauri ya wilaya ya Magu imegawa zana za ujifunzaji na ufundishaji kwa shule za msingi 53 za serikali…
ILI kuendana na mabadiliko ya mitaala ya elimu ya msingi na awali, Halmashauri ya wilaya ya Magu imegawa zana za ujifunzaji na ufundishaji kwa shule za msingi 53 za serikali…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imetangaza gawio la kihistoria kwa wanahisa la Sh. bilioni 214.43 na kufikia jumla ya gawio la Mwaka la Sh. bilioni 214.43…
KATIKA kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan za kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi na kuhifadhi mazingira, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania katika wilaya ya Magu, umezalisha na…
Baadhi ya watumishi kutoka Wizara ya Ujenzi na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) pamoja na Bodi ya Usajili wa Wakadiriaji Majenzi na Wabunifu…
Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imevifikishia huduma ya umeme Vitongoji 284 katika Jimbo la Arumeru Mashariki kati ya Vitongoji 330. Kapinga…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima ameongoza Adhimisho la Misa Takatifu ya shukrani kwa mara ya kwanza…
Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, Ismail Ali Ussi ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwa utekelezaji wa matumizi ya mita za Malipo ya…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imetangaza kulifuta Kanisa la Ufufuo na Uzima, linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima, ikiwa ni siku moja tangu kiongozi huyo wa kiroho atangaze msimamo…
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeitambulisha kampuni ya Lake Gas Limited ambayo imepewa jukumu la kusambaza mitungi ya gesi 13,020 itakayouzwa kwa bei ya ruzuku ya asilimia 50 katika Mkoa…
Rais wa Jamhuri ya Kosovo, Dkt. Vjosa Osmani Sadriu amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo alipomtembelea Ikulu jijini…