Rais matatani kwa ufisadi, kufungwa miaka 12
Rais wa zamani wa Colombia, Alvaro Uribe, ametiwa hatiani kwa kuwarubuni mashahidi kwenye kesi ya aina yake ya ufisadi dhidi yake. Hukumu hiyo ilitangazwa jana Jumatatu mjini Bogota kufutia kesi…
Rais wa zamani wa Colombia, Alvaro Uribe, ametiwa hatiani kwa kuwarubuni mashahidi kwenye kesi ya aina yake ya ufisadi dhidi yake. Hukumu hiyo ilitangazwa jana Jumatatu mjini Bogota kufutia kesi…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Agosti 2, 2025 Tanzania itaingia kwenye rekodi ya kuwa moja kati ya nchi zilizowahi kuwa wenyeji wa fainali za Michuano ya Mataifa ya Afrika…
Na Mwandishi Wetu, Tabora Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Sekta ya Mafuta na Gesi Wizara ya Nishati, Dkt James Mataragio, amesema utekelezaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika…
Katika hali ya kisiasa inayobadilika kila uchao, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuonyesha uhai na uwezo wa kujiimarisha kwa kufanya marekebisho yenye tija kwenye Katiba yake. Miongoni mwa marekebisho yaliyozua…
Mwandishi Wetu, Dodoma BENKI ya NMB imekabidhi Sh milioni 100 kwa Wizara ya Kilimo ili kusaidia kwenye maandalizi ya maonyesho wakulima, wafugaji na wavuvi maarufu kama nanenane. Kiasi hicho ni…
Katika historia ya siasa za Tanzania, Julai 26, 2025 inabaki kuwa siku ya kipekee. Siku ambayo Chama cha Mapinduzi (CCM) kiliandika ukurasa mpya wa mageuzi kwa kufanya Mkutano Mkuu wa…
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo terehe 25 Julai, 2025 ametangaza mafanikio makubwa katika…
Na Mwandishi Wetu, Singida Imeelezwa kuwa kukamilika kwa daraja la Masagi linalojengwa katika barabara ya Kibirigi-Masagi kutasaidia kuunganisha vijiji vya Kibirigi, Masagi na Tyeme katika Kata ya Mtoa, Wilaya ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi ya donge nono ya fedha taslimu Shilingi Bilioni 1 iwapo timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars watafanikiwa…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Benki ya Equity kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeanzisha mpango mahsusi wa kuimarisha sekta ya mifugo na ngozi nchini, kwa lengo la kuongeza…