Samia: Tutaleta SGR Kigoma
Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake itakamilisha ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) mkoani Kigoma, ikipitia Wilaya ya Uvinza. Amesema reli hiyo…
Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake itakamilisha ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) mkoani Kigoma, ikipitia Wilaya ya Uvinza. Amesema reli hiyo…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dkt Samia Suluhu Hassan, amewaambia wananchi wa Tabora kuwa atajenga barabara ya mzunguko yenye urefu wa kilomita 82 ili kupunguza msongamano mkoani humo. Ameeleza…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mha.Felchesmi Mramba ameeleza kuwa matumizi ya nishati safi ya kupikia nchinj yameongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 20.3 huku lengo likiwa ni kufikia asilimia…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma MGOMBEA Urais wa JMT kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina ameruhusiwa kurudisha fomu ya uteuzi na Tume Huru ya Uchaguzi imeamriwa kupokea na kuendelea na taratibu…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Serikali atakayoiunda itaendelea kuboresha sekta za maendeleo ya kijamii zikiwemo za elimu,umeme,maji na afya ili kukidhi mahitaji ya wananchi…
Mahakama ya Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, jana tarehe 10 Septemba 2025 imetoa hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa mtuhumiwa Grayson Muze Msemo (miaka 55), baada ya kupatikana…
Kwa mara nyengine, Cuba imekosa umeme nchi nzima kutokana na uchakavu wa miundombinu na uhaba wa mafuta kwenye mitambo ya nishati katika taifa hilo la Karibiki. Tukio hilo la jana…
Ethiopia imezindua rasmi Bwawa la Grand Ethiopian Renaissance (GERD), mradi mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme barani Afrika. Sherehe ya uzinduzi ilifanyika juzi Jumanne karibu na bwawa hilo katika eneo la…
Benki ya NMB imekabidhi jezi zenye thamani ya Shilingi milioni 36 kwa Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (Shimiwi), ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za…
MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasihi wananchi waendelee kumwamini kwa kumpa kura nyingi za ndiyo kutokana na mafanikio yaliyopatikana katika awamu yake ya kwanza…