Magu yatenga milioni 92 kutengeneza madawati 1300
HALMASHAURI ya Wilaya ya Magu inatarajia kutumia Sh milioni 92 kwa ajili ya utengenezaji wa madawati 1300 ambayo yanatarajiwa kusambazwa kwa shule za sekondari na msingi zenye uhaba wa samani…
HALMASHAURI ya Wilaya ya Magu inatarajia kutumia Sh milioni 92 kwa ajili ya utengenezaji wa madawati 1300 ambayo yanatarajiwa kusambazwa kwa shule za sekondari na msingi zenye uhaba wa samani…
NA MWANDISHI WETU, MBEYA SERIKALI imeipongeza Taasisi za NMB Foundation kwa kuendesha mafunzo kwa wakulima wa zao la kakao kutoka Vyama vya Msingi vya Ushirika wa Kilimo na Masoko (AMCOS)…
NA MWANDISHI WETU, GENEVA Kikao Maalum cha Pili cha Kamati ya Kanda ya Afrika ya WHO kilichofanyika leo Jumapili, Mei 18, 2025 kimemchagua Profesa Mohamed Janabi kuwa Mkurugenzi wa Kanda wa…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Madini Injinia Yahya Samamba kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Bw.Anthony Mavunde amezindua kamati ya Masoko na Mawasiliano ya Taasisi ya…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema katika kipindi cha miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan sekta ya madini imepata mafanikio makubwa ikiwemo Benki Kuu ya…
Na Mwandishi Wetu, Morogoro Serikali inakusudia kutumia Dola milioni 77.4 sawa na shilingi Bilioni 208.9 kuzijengea uwezo kaya duni 260,000 za wakulima na wavuvi kwa kuziwezesha kitaalam na kuziunganisha na…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi kombe la ubingwa wa ligi hiyo kwa timu…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Finland, Alexander Stubb, ametembelea Makumbusho ya Taifa la Tanzania jijini Dar es Salaam na kuonesha kufurahishwa na maonesho ya historia…
ZAIDI ya wakazi 7,678 wa kata ya Mwamabanza iliyopo wilaya ya Magu mkoani Mwanza wanatarajiwa kupata huduma ya maji safi na salama kuanzia Juni mwaka huu. Hayo yameelezwa jana tarehe…
Na Mwandishi Wetu, Dar Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, anatarajiwa kuzindua kongamano maalum linaloandaliwa na Taasisi ya Umoja wa Watoa Huduma katika sekta ya madini nchini (TAMISA) pamoja na Kamati maalum…