Siku 5 za kampeni, Samia hakamatiki
Hakamatiki, ndio msamiati sahihi unaoweza kutumika kuakisi utofauti wa kishindo cha mikutano ya kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan, ukilinganisha na vyama vingine…
Hakamatiki, ndio msamiati sahihi unaoweza kutumika kuakisi utofauti wa kishindo cha mikutano ya kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan, ukilinganisha na vyama vingine…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara wakubwa mkoani Arusha ushirikiano wa karibu zaidi katika kukuza shughuli zao, hususan sekta ya utalii, ili kuongeza ufanisi wa kibiashara, mapato…
Na Mwandishi Wetu, Tanga Wakandarasi wote waliopewa zabuni ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA, wametakiwa kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa ubora uliopangwa ili…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema atakapochaguliwa kuingoza Tanzania kwa miaka mitano ijayo, Serikali yake itanunua matrekta 10,000 ili kuboresha shughuli za kilimo. Dkt…
Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu zikifikia siku ya tatu, Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema chama chake hakina…
Mgombea wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema atakapochaguliwa kuiongoza Tanzania kwa miaka mitano ijayo, atahakikisha programu ya Tutunzane inatekelezwa hadi wilayani Kilosa mkoani Morogoro.…
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ameeleza kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipa heshima nchi kwa kuhamasisha matumizi ya…
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, ameeleza kuwa jumla ya vitongoji 1,997 sawa na asilimia 88.4 kati ya vitongoji…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Benki ya NMB imekabidhi hundi ya zaidi ya shilingi bilioni 1.9 kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule kwa ajili ya mikopo ya vikundi vya…
Mgombea Urais wa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wananchi wa Morogoro kuwa barabara za Bigwa, Mvua - Kisaki zitakwenda kujengwa kwa kiwango cha…