Serikali yatatua mgogoro wa mwekezaji na wachimbaji wadogo Ifumbo, atoa leseni 2
Na Mwandishi Wetu, Mbeya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameeleza kuwa wananchi wa Kata ya Ifumbo Wilayani Chunya watapewa leseni mbili kati ya 14 za uchimbaji madini zinazomilikiwa na Kampuni…
