Balozi Nchimbi apiga marufuku wimbo huu dhidi ya wapinzani
Mwandishi Wetu, Mara KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel John Nchimbi amepiga marufuku wimbo unaobeza na kuchochea chuki dhidi ya vyama vya upinzani, akiagiza usitumiwe na wanaCCM…
