Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Tume, Serikali na vyama vya siasa kusaini maadili ya uchaguzi

Tume, Serikali na vyama vya siasa kusaini maadili ya uchaguzi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho tarehe 12 Aprili, 2025 wanatarajiwa kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi yatakayotumika kwenye uchaguzi…

Continue ReadingTume, Serikali na vyama vya siasa kusaini maadili ya uchaguzi
Read more about the article Rais Samia ateta na Mmiliki Machester United

Rais Samia ateta na Mmiliki Machester United

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 11, 2025
  • Post category:Habari za Michezo na Burudani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 11, 2025, amekutana na kufanya mazungumzo na mmiliki wa Klabu ya Mpira wa Miguu ya Manchester United…

Continue ReadingRais Samia ateta na Mmiliki Machester United
Read more about the article Umoja wa Ulaya kutoa bilioni 182 kuongeza kasi mageuzi sekya ya madini

Umoja wa Ulaya kutoa bilioni 182 kuongeza kasi mageuzi sekya ya madini

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Madini, Anthony Mavunde leo Ijumaa amekutana na Ujumbe kutoka Umoja wa Ulaya(EU) kujadiliana juu ya maendeleo ya sekta ya madini nchini na hasa uendelezaji…

Continue ReadingUmoja wa Ulaya kutoa bilioni 182 kuongeza kasi mageuzi sekya ya madini
Read more about the article NLD kushiriki uchaguzi mkuu, Doyo awa mgombea urais

NLD kushiriki uchaguzi mkuu, Doyo awa mgombea urais

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 11, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Chama cha National League for Democracy (NLD) kimemtangaza rasmi, mwanachama na Katibu Mkuu wao, Doyo Hassan Doyo, kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ifikapo mwezi Oktoba mwaka…

Continue ReadingNLD kushiriki uchaguzi mkuu, Doyo awa mgombea urais
Read more about the article Wanaopisha njia ya umeme Kilindi kulipwa bilioni 2.6

Wanaopisha njia ya umeme Kilindi kulipwa bilioni 2.6

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea na ukarabati wa miundombinu ya kusambaza umeme ili kuondokana na changamoto ya kukatika kwa umeme…

Continue ReadingWanaopisha njia ya umeme Kilindi kulipwa bilioni 2.6
Read more about the article Wabunge Zambia wavutiwa na mfumo wa masoko ya madini Tanzania

Wabunge Zambia wavutiwa na mfumo wa masoko ya madini Tanzania

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Ujumbe wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya Uchumi wa Taifa, Biashara na Kazi kutoka Bunge la Taifa la Zambia umewasili nchini Tanzania kwa ziara ya…

Continue ReadingWabunge Zambia wavutiwa na mfumo wa masoko ya madini Tanzania
Read more about the article Waziri Mkuu aupongeza mradi wa EACOP kwa kuajiri wazawa 6,000

Waziri Mkuu aupongeza mradi wa EACOP kwa kuajiri wazawa 6,000

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameupongeza mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kuajiri Watanzania zaidi ya 6000 wanaohudumu kwenye mradi huo mkubwa…

Continue ReadingWaziri Mkuu aupongeza mradi wa EACOP kwa kuajiri wazawa 6,000
Read more about the article Mgodi mkubwa wa dhahabu kuanzishwa Hanang’ – Manyara

Mgodi mkubwa wa dhahabu kuanzishwa Hanang’ – Manyara

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde leo Aprili 9, 2025 amefanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Marvel Gold Bw. Timothy Strong juu ya uwekezaji wa kampuni hiyo kwenye…

Continue ReadingMgodi mkubwa wa dhahabu kuanzishwa Hanang’ – Manyara
Read more about the article Vitongoji 9000 kusambaziwa umeme mwaka 2025/2026

Vitongoji 9000 kusambaziwa umeme mwaka 2025/2026

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kazi ya kupeleka  umeme kwenye Vijiji vyote Tanzania Bara na  nguvu sasa inaelekezwa kwenye vitongoji. Mhe. Kapinga  ameeleza…

Continue ReadingVitongoji 9000 kusambaziwa umeme mwaka 2025/2026
Read more about the article Lissu alegeza masharti Chadema kushiriki uchaguzi mkuu

Lissu alegeza masharti Chadema kushiriki uchaguzi mkuu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:April 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Mwandishi Wetu, Ruvuma Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amelegeza masharti kuhusu chama hicho, kushiriki uchaguzi akitaka mambo sita yafanyikie ili waingie katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Lissua ametaja…

Continue ReadingLissu alegeza masharti Chadema kushiriki uchaguzi mkuu
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • …
  • 116
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu