Rais Mwinyi: Sekta binafsi ina mchango kukuza utalii endelevu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema sekta binafsi ina mchango mkubwa katika kukuza sekta ya utalii hapa nchini katika nyanja tofauti na…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema sekta binafsi ina mchango mkubwa katika kukuza sekta ya utalii hapa nchini katika nyanja tofauti na…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi tatu bora barani Afrika ambazo zimefanikiwa kuingiza timu zake kwenye michuano ya kimataifa zaidi…
Na Mwandishi wetu, Lindi Miradi ya ujenzi wa madarasa mawili yenye thamani ya shillingi millioni 60 katika kijiji cha Ngumbu wilaya ya Liwale mkoani Lindi inayotekelezwa na Serikali kupitia Mamlaka…
Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini, Sebastian Simon Kapufi (CCM) ametoa wito kwa Serikali kuwaangalia vijana ili wasiwe tegemezi badala yake wawe nguvu kazi ya Taifa. Kapufi ametoa kauli hiyo…
Watanzania wanaoishi nchini Ubelgiji wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake thabiti unaoendelea kuleta mafanikio makubwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na kulinda amani na mshikamano wa…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali pamoja na mashirika ya kimataifa wameonesha kuvutiwa na vivutio vilivyoko nchini, huku wakiahidi kuiongezea nguvu Tanzania katika kutangaza vivutio hivyo kwenye nchi…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura awamu ya pili utafanyika sambamba na uwekaji wazi wa Daftari la Awali la Wapiga Kura kuanzia tarehe 01…
NA MWANDISHI WETU, KIBAHA SERIKALI imeipongeza Benki ya NMB kwa kutenga kiasi cha Sh. Mil. 225 kwa ajili ya kuzawadia Shule Bora katika Kampeni ya Upandaji Miti Milioni 1 ‘Kuza…
Ni rasmi Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu wa wabunge, madiwani na urais, utakaofanyika baadaye mwaka huu, baada ya chama hicho, kususia kusaini kanuni…
Na Mwandishi Wetu, Dodom Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema kipaumbele cha Serikali ni kuhakikisha Taasisi zote zinazotoa huduma za kijamii, kiuchumi na kidini zinafikiwa na nishati ya umeme…