Papa Francis afariki dunia akiwa na miaka 88
Papa Francis amefariki dunia leo Jumatatu ya Pasaka, Aprili 21, 2025, akiwa na umri wa miaka 88 katika makazi yake katika Casa Santa Marta, Vatican. Muda mfupi uliopita, Mwadhama, Kardinali…
Papa Francis amefariki dunia leo Jumatatu ya Pasaka, Aprili 21, 2025, akiwa na umri wa miaka 88 katika makazi yake katika Casa Santa Marta, Vatican. Muda mfupi uliopita, Mwadhama, Kardinali…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI imesema inawasiliana kwa mara ya mwisho na serikali za Afrika Kusini na Malawi ili ziruhusu mazao ya Tanzania yaingie katika nchi hizo. Waziri wa Kilimo,…
Na Mwandishi Wetu, Mara Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko leo Aprili 16,2025 ameongoza maelfu ya wananchi pamoja na viongozi mbalimbali kwenye shughuli ya maziko ya…
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) imepongezwa kwa kuendelea kuimarisha huduma za Optometria zinazotolewa katika idara ya macho huku ikishauriwa kuimarisha huduma zake na…
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amqni na usalama wa nchi. Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imewasilisha bungeni makadirio ya mapato kwa mwaka 2025/26 yenye takribani Shilingi trilioni 11. 783 kwa…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Aprili 16, 2025 amefika na kukagua eneo la Matandu na Somanga Mtama barabara kuu ya Dar es Salaam - Lindi yaliyokuwa yamekatika hivi karibuni kutokana…
KAMATI ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Magu imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa stendi ya Ilungu pamoja na shule mpya ya sekondari…
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeishukuru Benki ya NMB kwa namna inavyojitoa kuunga mkono Sekta ya Michezo ndani ya jeshi hilo, kwa kufadhili…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wanawake nchini Tanzania wametajwa kuwa na mchango mkubwa katika Pato la Taifa ambapo takwimu zinaonesha kuwa asilimia 35 ya uchumi wa Tanzania unatokana na juhudi za…