Skip to content
info@mchukuzitv.co.tz   Biashara Complex - P.O. Box 25074, Dar es Salaam   Tel: +255 752 396 394
Mchukuzi TV
  • Home
  • About Us
  • News
  • Industry Directory
  • Events
  • Jobs & Adverts
  • Contact Us
  • Toggle website search
Home Close
Type then hit enter to search
Read more about the article Kikundi kazi TNBC chaja na mikakati kuboresha sekta ya kilimo

Kikundi kazi TNBC chaja na mikakati kuboresha sekta ya kilimo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 10, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) kupitia Kikundi Kazi cha Kilimo limekuja na maazimio ya kutatua changamoto mbalimbali zinazoikumba sekta hiyo nchini sambamba na…

Continue ReadingKikundi kazi TNBC chaja na mikakati kuboresha sekta ya kilimo
Read more about the article Milioni 250 za mfuko wa jimbo zaacha alama Magu
Boniventura Kiswaga

Milioni 250 za mfuko wa jimbo zaacha alama Magu

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

ZAIDI ya Sh milioni 250 zilizotolewa na mfuko wa jimbo wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu kwa kipindi cha miaka mitano (2020-2025), zimetajwa kuchochea kasi ya maendeleo ya miradi mbalimbali…

Continue ReadingMilioni 250 za mfuko wa jimbo zaacha alama Magu
Read more about the article Mradi wa umeme jua Kishapu wafikia 63.3%, kuzalisha megawati 50

Mradi wa umeme jua Kishapu wafikia 63.3%, kuzalisha megawati 50

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 9, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amesema mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua wa Kishapu mkoani Shinyanga umefikia asilimia 63.3 kukamilika ambapo amesema awamu…

Continue ReadingMradi wa umeme jua Kishapu wafikia 63.3%, kuzalisha megawati 50
Read more about the article Walimu 40,527 waajiriwa kuanzia 2021-2025

Walimu 40,527 waajiriwa kuanzia 2021-2025

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 8, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma ILI kukabiliana na uhaba wa walimu katika shule Serikali, jumla ya walimu 40,527 wameajiriwa katika maeneo mbalimbali nchini kuanzia mwaka 2021 hadi sasa. Hayo yameelezwa na…

Continue ReadingWalimu 40,527 waajiriwa kuanzia 2021-2025
Read more about the article Wakulima Magu wampa tano Kiswaga kwa kuchochea kilimo

Wakulima Magu wampa tano Kiswaga kwa kuchochea kilimo

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

KATIKA kutekeleza kwa vitendo lengo la Rais Samia Suluhu Hassan la kuinua sekta ya umwagiliaji kwa asilimia 50 ifikapo 2030, Mbunge wa Magu, Boniventura Kiswaga ametoa msaada wa pampu kwa…

Continue ReadingWakulima Magu wampa tano Kiswaga kwa kuchochea kilimo
Read more about the article NMB yahamasisha wananchi Ngorongoro kushiriki michezo, ujasiriamali

NMB yahamasisha wananchi Ngorongoro kushiriki michezo, ujasiriamali

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 7, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Arusha Benki ya NMB kupitia kampeni yake ya NMB Kijiji Day imefanya shughuli mbalimbali za kijamii  katika tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro, mkoani Arusha, zikiwemo michezo, elimu ya…

Continue ReadingNMB yahamasisha wananchi Ngorongoro kushiriki michezo, ujasiriamali
Read more about the article Shule 53 Magu zagawiwa zana za kufundisha wanafunzi wa awali

Shule 53 Magu zagawiwa zana za kufundisha wanafunzi wa awali

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

ILI kuendana na mabadiliko ya mitaala ya elimu ya msingi na awali, Halmashauri ya wilaya ya Magu imegawa zana za ujifunzaji na ufundishaji kwa shule za msingi 53 za serikali…

Continue ReadingShule 53 Magu zagawiwa zana za kufundisha wanafunzi wa awali
Read more about the article NMB yatangaza gawio la bil. 214 kwa wanahisa wake kwa mwaka 2024

NMB yatangaza gawio la bil. 214 kwa wanahisa wake kwa mwaka 2024

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 5, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imetangaza gawio la kihistoria kwa wanahisa la Sh. bilioni 214.43 na kufikia jumla ya gawio la Mwaka la Sh. bilioni 214.43…

Continue ReadingNMB yatangaza gawio la bil. 214 kwa wanahisa wake kwa mwaka 2024
Read more about the article TFS MAGU yagawa miche 200,000 ya miti kuunga mkono jitihada za Samia uhifadhi wa mazingira

TFS MAGU yagawa miche 200,000 ya miti kuunga mkono jitihada za Samia uhifadhi wa mazingira

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 4, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

KATIKA kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan za kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi na kuhifadhi mazingira, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania katika wilaya ya Magu, umezalisha na…

Continue ReadingTFS MAGU yagawa miche 200,000 ya miti kuunga mkono jitihada za Samia uhifadhi wa mazingira
Read more about the article Watumishi wizara ya ujenzi, CRB, ERB wajifungia Morogoro kwa kikao kazi

Watumishi wizara ya ujenzi, CRB, ERB wajifungia Morogoro kwa kikao kazi

  • Post author:Gabriel
  • Post published:June 3, 2025
  • Post category:Habari Mchanganyiko

Baadhi ya watumishi kutoka Wizara ya Ujenzi na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) pamoja na Bodi ya Usajili wa Wakadiriaji Majenzi na Wabunifu…

Continue ReadingWatumishi wizara ya ujenzi, CRB, ERB wajifungia Morogoro kwa kikao kazi
  • Go to the previous page
  • 1
  • …
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • …
  • 126
  • Go to the next page

Subscribe to our Newsletter

About Us

Mchukuzi TV is an online television channel dedicated to providing comprehensive news, analysis, and information on the logistics and transportation industries in the country. Launched in 2024, Mchukuzi TV has quickly established itself as the go-to source for individuals and businesses seeking the… Read More>>>

Instagram Facebook Linkedin X-twitter
Quick Links
  • About Us
  • News
  • Events
  • Contact Us
  • Jobs & Adverts
Contact Us
  • Biashara Complex, along Mwinyijuma Road, Plot No. 5029, Kinondoni, Second floor, P.O. Box 25074, Dar es Salaam, Tanzania.
  • Mobile: +255 752 396 394
  • Email: info@mchukuzitv.co.tz
Admin Login
Copyright © 2026: Mchukuzi TV | Developed by Alban Technology
Search this website Type then hit enter to search
Close Menu