DC Lawuo aongoza kikao maandalizi ya mwenge Magu
MKUU wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Jubilate Win Lawuo ameongoza kikao cha maandalizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 kilichofanyika leo tarehe 10 Julai, 2025 katika ofisi za…
MKUU wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Jubilate Win Lawuo ameongoza kikao cha maandalizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 kilichofanyika leo tarehe 10 Julai, 2025 katika ofisi za…
MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM SERIKALI imeipongeza Benki ya NMB kwa kuzindua Programu Maalum ya Ujuzi kwa Maendeleo ya Ujasiriamali na Ajira kwa Vijana (SEED), inayolenga kuwaongezea vijana wa Kitanzania…
Mabondia Kassim Mbundwike na Mwanjango wameshinda mapambano yao katika michuano ya maadhimisho ya miaka 50 ya Sherehe za Uhuru wa Umoja wa Visiwa vya Comoro iliyoshirikisha mabondia toka Madagascar,Gabon,Tanzania na…
Viwanja vya ndege vya Marekani havitahitaji tena abiria kuvua viatu vyao wakati wa ukaguzi wa usalama unaoendeshwa na Utawala wa Usalama wa Usafiri (TSA) - ukiondoa sera hiyo isiyopendwa na…
Sudan Kusini ilipata uhuru wake mwaka 2011 baada ya kura ya maoni ambapo watu wake walipiga kura kwa wingi kujitenga na Sudan. Uhuru ulikuwa kilele cha mapambano ya muda mrefu…
Rais William Ruto ameahidi kuchukua hatua kali dhidi ya wanasiasa wanaowachochea wafuasi wao kushiriki katika vitendo vya vurugu, akisisitiza kuwa hali ya kuvunja sheria haitavumiliwa nchini Kenya. Pia amesema mtu…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katika hali inayoonesha bidhaa zake kukubalika na watanzania wengi kampuni ya Norland Tanzania ambayo makao makuu yake yapo nchini Chna, imejipanga kujitanua na kuhakikisha…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Benki ya NMB imeendelea kuthibitisha uongozi wake katika masuala ya rasilimali watu baada ya kutunukiwa tuzo maalum na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF)…
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 5 hadi 26, 2025. Matokeo hayo yametangazwa leo Jumatatu, Julai 7, 2025 visiwani Zanzibar na…
Benki ya NMB imesema itaendelea kuwekeza kwenye mifumo ya kidijitali ili kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa Watanzania, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha ujumuishaji wa kifedha na…