Balozi Ulanga aitabiria makubwa NFRA
Na Mwandishi Wetu, Arusha Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA) Balozi John Ulanga ameitabiria mafanikio makubwa taasisi hiyo kutokana na jitihada…
Na Mwandishi Wetu, Arusha Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA) Balozi John Ulanga ameitabiria mafanikio makubwa taasisi hiyo kutokana na jitihada…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Timu ya wataalamu 53 kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) itajifungia kwa wiki mbili, kuanzia leo Jumatatu kufanya uchambuzi wa mipango na bajeti…
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuongeza siku mbili zaidi za zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Mkoani Dar…
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza majina ya waliochaguliwa kufanya usaili nafasi mbalimbali za kazi zilizotangwa kuanzia Februari 6 hadi 19 mwaka huu. Tangazo hilo lililotolewa na Idara ya Usimamnizi…
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemtangaza Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Yakub Janabi kuwa Mgombea wa Nafasi ya Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani…
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeanza utekelezaji wa mpango kabambe wa kuimarisha njia za kusambazia umeme na kuongeza ubora wa nishati ya umeme katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa kiTANESCO…
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu amesema wizara itaendelea kutekeleza miradi ya uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme ikiwa ni pamoja na kufikisha Gridi ya taifa katika…
Netumbo Nandi-Ndaitwah ameapishwa kuwa rais wa nchi hiyo baada ya kupata ushindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika Novemba mwaka jana ambao unarefusha utawala chama cha SWAPO kilichopigania uhuru wa taifa hilo.…
Uwanja wa ndege wa Heathrow uliopo katika jiji la London nchini Uingereza umefungwa kabisa Ijumaa kufuatia umeme kukatika kwa sababu ya moto uliozuka katika kituo kidogo cha umeme magharibi mwa…
Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ametaja mafanikio yaliyopatikana katika Wizara kwa mwaka 2024/2025 mojawapo ikiwa ni kuimarika kwa uzalishaji wa…