Watanzania 42 waliokwa Israel kurejea nchini leo
Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kwa sababu ya mapigano kati ya nchi hiyo na Iran watarejea nchini leo tarehe 25 Juni 2025, kwa Ndege ya Shirika la Ndege la…
Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kwa sababu ya mapigano kati ya nchi hiyo na Iran watarejea nchini leo tarehe 25 Juni 2025, kwa Ndege ya Shirika la Ndege la…
Jeshi la Rwanda limesema kuwa madai ya kwamba afya ya Rais Paul Kagame iko hatarini sana ni habari za hongo. Kauli hiyo imekuja kutokana na taarifa mbalimbali kuibuka kuhusu afya…
Na Mwandishi Wetu, Mbeya Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Dkt. Diocles Ngaiza amesema zaidi ya wagonjwa 700 watapatiwa matibabu ya macho katika kambi ya matibabu ya wagonjwa…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa maoni yoyote yanayolenga kuhakikisha Tanzania inaendelea kudumisha amani na utulivu, hayajawahi kupuuzwa na hayatapuuzwa. Aidha, Balozi…
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Sekta ya Nishati ni moja kati ya Sekta tatu nchini ambazo zimechangia ukuaji wa pato la Taifa katika kipindi cha…
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea kuwezesha, kuhamasisha na kutoa elimu kuhusu umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa watumishi wa magereza na wananchi ili kufikia…
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka nchini leo Juni 24, 2025, kuelekea Maputo, Jamhuri ya Msumbiji kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Katika ziara hiyo, Rais Samia atakuwa mgeni…
Waendesha mashtaka wa Kenya wametangaza jana Jumatatu kufungua mashtaka dhidi ya watu sita, wakiwemo maafisa watatu wa polisi, kwa mauaji ya Albert Ojwang. Ojwang mwenye umri wa miaka 31, alifikwa…
Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), imepanga kutekeleza ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Mlandizi hadi Ruvu kwenye Stesheni ya SGR kwa awamu, ambapo mkataba wa ujenzi…
Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko makubwa ya uongozi serikalini kwa kuwahamisha na kuwateua viongozi mbalimbali wa mikoa, wilaya, wizara na taasisi za umma. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…