Biteko akemea migogoro binafsi kwa viongozi Arusha
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewataka viongozi kote nchini kuweka maslahi ya wananchi mbele na kuacha migogoro inayotokana na ubinafsi wao. "Hawa Watanzania hawataki migogoro…
