DC Malinyi aita waliohama kijiji cha Ngombo kwenda kuchukua fidia
Na Mwandishi Wetu, Morogoro Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Wakili Sebastian Waryuba amewataka wananchi waliohama kwa hiyari kutoka katika Kijiji cha Ngombo ambacho awali kilikuwa ndani ya Pori la Akiba Kilombero…
